Kama hajaolewa unaweza kumrudia
Sikupi pole

Eheee ndo huyoo
Hahahaha.......eti eeeeeeh!!Kaa kwa password wa kienyeji.
Si tulikubaliana unanipea msukuma mwenzio..au imeishia wapi
Hapana me nishaachaga kupenda kitambo tuNa wewe yanakuumiza Chief.
kwamba ukiona mambo hayaendi unayaacha unaenda wewe
safi sana

😂 😂 😂Na kitimoto kwa pembeniKwahiyo umeamua kupenda ugali tu sio..🤛🤛
Sijambo kabisa hofu kwako....We nae..kwa kupenda kukuza mambo...
Usichukulie laifu siriaz sana
take it easy Chief.
😄😄hujambo lakini..umepotea sana
Wanaweza fufuka atiAu tuwalipue hao watu na mabomu![]()
ili arudi tu kukuumiza tena.