Mapenzi yanauma sana jamani

Mapenzi yanauma sana jamani

Mungu aliyeng'aa mioyoni mwetu atuwezeshe kufahamu ubaya wa mapenzi na kutambua huruma yake, pole
 
Usiombe umpende mtu halafu,itokee siku akakuzingua.
Mkisikia mtu amejinyonga msichukulie poa mapenzi mabaya sana.
Sikia kwa wenzako tu.



Mapenzi yanauma kwa teenagers tu ambao wanataka kuteleza kwenye ganda la ndizi,kwa gentleman hakuna kuumizwa na mapenzi.
 
Usiombe umpende mtu halafu,itokee siku akakuzingua.
Mkisikia mtu amejinyonga msichukulie poa mapenzi mabaya sana.
Sikia kwa wenzako tu.

nilicho enjoy n bidada kuvua nguo hapo zingine makelele nipeni bia zang nikalale[emoji2357]
 
Wote tunapenda/tulipenda na kusalitiana/tunasalitiana some tyms. So love is the game
 
Back
Top Bottom