Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,958
- 55,051
Usiombe umpende mtu halafu,itokee siku akakuzingua.
Mkisikia mtu amejinyonga msichukulie poa mapenzi mabaya sana.
Mkisikia mtu amejinyonga msichukulie poa mapenzi mabaya sana.
😂😂😂😂😂😂mbaya zaidi kupenda usipopendwa dah!
We jamaaNliacha kupenda tangu siku amina aliponisaliti kwa maandazi mawili ya abdala
Tukiwa darasa la tatu
Sintopenda tena katu !
They say love is pain then honey.........
It kills me to know that you found somebody to love
Hio n mistari kwny baadhi ya nymbo za one republic, yanauma kweli
Pole mkuu.
Pole sana.
Nakuelewa sana.
Tutalivuka hili daraja
mbaya zaidi kupenda usipopendwa dah!
Halafu huyo unae mpenda anampenda mtu mwingine.😂😂😂😂😂😂mbaya zaidi kupenda usipopendwa dah!