Mapenzi yanauma jamani

Pole Sana Mkuu...Vuta Subira
 
sio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi[emoji22]
Pole Sana Mkuu, Vuta Subira...
 
Ujue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
Ndo maana unashauriwa kuwa na mwingine wa pembeni kama spare, ili huyu akizingua basi faster mwamba unahamia another side.
 
Hapo hana ujanja umeshamzalisha. Value sokoni imeshashuka
 
Unafuta namba za manzi yako wakat umezikariri kichwani..😁 usiogope bro hapo ndo unakomaa ukitaka demu wa peke yko kata mgomba lala juu hutakaa uumie kabisa

by the way tafuta hela hakuna mwananke anayekimbilia six packs mbele ya six cars
 
Ndo maana hata wenye hela huishia kujiua japo kwa nje wanaonekana kuwa na furaha na wameyapatia maisha.

Kwenye hii ishu ni kuupa muda nafasi yake na kupona taratibu vinginevyo kuna hatari ya kubakia bitter na mwenye makovu ya kudumu.

I think I am bitter[emoji2308]
 
Yesu anakuhitaji, acha uovu huo
 
Ukimtafuta ww utapungukiwa nini?? Inaonekana wewe ndie mwenye uhitaji zaidi yake kwa sasa.

We mcheki tu yaishe, ila amini amini nakwambia mwanangu itafika time yeye ndo atakua anakuhitaji zaidi kuliko wewe utavyomuhitaji.

Wanaume ni 100%->0%
Wanawake ni. 0%->100%
 
sio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi[emoji22]
[emoji16][emoji16][emoji16]Ngoja nicheke tu
 
Dah. Mkuu kama wewe aisee. Mimi siku 5 zimepita. Sema mi nikaona isiwe shida nikaanzisha Mawasiliano na msamaha nikaomba mimi ingawa sio kosa langu.

Mwisho wa siku we only live once. Maisha mafupi.
Mimi pia nimeshaomba sana msamaha na kosa ni la kwake. Saiv ni mke wangu ujinga huo nimeacha kabisa
 
Maskini ndio wanaoteseka zaidi na mapenzi. Unakadem kako kazurii umekapata bila shida afukamekukubali kwa hali yako hiyo hiyo. Sasa mkizinguana nako lazma utapitia stress kwasababu unawaza kupata kama huyo tena ni ngumu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…