Mapenzi yananiumiza naombeni uzoefu wenu tafadhali

Mapenzi yananiumiza naombeni uzoefu wenu tafadhali

Kwa maelezo yk kama ni kweli na ushauri uliopewa ukiendelea nae utakuwa na roho ngumu wote tupaa kule mwee kama karoho kanapenda basi tena
 
niPM nikupe tulizo la moyo,achana na huyo mjumbe wa katiba,pesa za msimu
 
Hee wengine mmeumbiwa mioyo ya chuma,yawezekana jamaa alikutongoza tuu ili aonje utamu now umeshampa halafu bado unamganda,anakutafutia sababu lakini unakua kichwa ngumu,action speaks loudly....
 
Umemuokota wapi??
ingekuwa mimi ningekimbia mpaka kiatu kikatike!

Watu kama hao huwa wanaweza wakabadilika sawa ila inachukua muda sanaa! Na wengine ni mpaka wapatwe na janga kubwa kwenye maisha ndio anakaa sawa.

Mungu akusimamie kwenye maamuzi yako.
 
Lugha ya maandishi tu ndio inaeleweka? Vuta hata picha then uifasiri kwa ubongo, you will get + answer
 
Hivi dunia ya leo unakubali kujipendekeza kwa mpenzi asiyekutaka?? Epuka presha na visukari vitokanavyo na ndoa chungu. Chapa lapa na huna hata haja ya kuuliza ushauri hapa wakati kila movie script or clip iko wazi kabisa. Haya sasa, hakupendi, wewe ni kama spare tyre, anakuhitaji tu pale ambapo gurudumu lake limepata pancha!!! Mind your business!!
 
anapata almost laki 3 kwa siku?yupo ktk bunge la katiba?

sitaki kuongea kwa kirefu....ACHANA NAE
 
Kutokana na uandishi atakuwa ke, kama ni me kitu nisichodhani kulikangana na ulalamishi atakuwa me suruali mkuu.

na mimi nilitaka nifikiri hivyo ila bado nina wasiwasi kidogo
 
Pole ....achana nae tu au umekuwa tegemezi sana kwake?
 
Kijana wakati ndio sasa , vunja huo uhusiano kungali mapema wala usifikirie kuingia na huyo dada kwenye ndoa, ipo siku tutakukuta juu ya paa unaota jua huku umejifunika blanketi..........kama hayo unayosema ni kweli, jikaze kisabuni muachane, utampata mwingine mutakayeendana na kukuheshimu.......kwanza pole sana.

mleta mada ni ke au me?
 
Back
Top Bottom