Mapenzi yananiumiza naombeni uzoefu wenu tafadhali

Mapenzi yananiumiza naombeni uzoefu wenu tafadhali

We me/ke?
Ndugu yangu kwa mtazamo wangu mimi penzi huwa tamu pale mnapokuwa wachumba kuelekea kwenye ndoa mahabati huwa yananoga mno lakini hivyo vitimbwi kama anakufanyia hajakuoa akikumiliki itakuwaje? Unaonaje ukitumia muda mwingne zaid au kuizoea hiyo tabia yake au kumbadilisha aiache ndipo muoane! Ni hayo tu
 
Salamu kwa wote,

Mi ni yuleyule mpenzi wangu hataki tukacheki afya,

Jamani mapenzi yananiumiza sina raha ndugu zangu, nampenda sana huyu mpenzi wangu lakini yeye simuelewi.

Nina miaka 27, nina kazi ya kudumu, tumekuwa tukigombana mara kwa mara nakuwa mdogo mambo yanaisha maisha yanaendelea.

Mara nyingi ananikwaza nikimuuliza ananitumia meseji za matusi, nikishauri kitu ansema hataki kushauriwa, tunaishi mkoa mmoja lakini hana time na mimi kabsa, cha ajabu mesg za kusema ananipenda hazikawii.

Napata wakati mgumu sana, hajawahi kuninunulia hata kazawadi ka shilling 500!hana muda wa kuspendi na mimi zaidi ya kuwasiliana kwenye simu na kila tukitofautiana iwe ni yeye chanzo au ni mimi ananitumia meseji za matusi, ninapohisi nimekosea namwomba msamaha but naambulia matusi, akinikosa yeye anarudisha kosa upande wangu na msg za matusi.

Anajifanya ni mbabe, na kama katili flani, ubahili ndo usiseme. Kanambia tuanze process za ndoa ila naogopa maana nawaza hivi tukioana atakuwa anatunza familia? maana anaoekana sio mtoaji hata kidogo japo anapata almost laki 3 kwa siku.

Pia atakuja kuacha matusi au atanitukana mbele za watu au watoto?

Naombeni ushauri wenu kichwa kinaniuma hapa nilipo nikifikiria na umri ndou unaenda.

asanteni.


He! Ni mjumbe wa Bunge la katiba eenh? (Just a joke)
 
Tatizo lako unahuruma sana,pia unafikiri eti kwakuwa umri unaenda basi ndo ukubali kuwa nae kisa wataka ndoa.ndugu raha ya mapenzi ni kupendana,kuheshimiana , kujaliana n.k, umezaliwa naye? Mama usiumize moyo wako kwa mtu asiyejua thamani yako..wengi wamekushauri umuache na miye nakwambia.. MUACHE!! Wanaume wazuri wapo wamejaa tele,huyo HAKUFAI.!!
 
Ndoa sio kombe ni maisha.
Kombe ni sherehe ya ndoa, tafakari.

Miaka 27 unajiona mzee? Bado mbichi kabisa wa kuliwa bila kupikwa wewe.
 
Laki pole sn najua unapitia wakati mgumu sn lkn jipe moyo.maisha ya mapz nin safar ndefu sn ilojaa mashaka,karaha,maudhi,dharau na raha kidogo sn km ulienaye c MTU sahih unaestahil Kuwa naye.ki kwel km facts za case yako iko hvyo huyo kaka hakupendi bali kuna anachokitaka toka kwako.mwanaume gan hajui waajbu wake km ana upendo wa dhati?yaan wew umeanza kulia hujaanza kukatakata kitunguu ukianza je c utapga ukunga???huyo mwache aende siyo wa kufanana nawe mumy.Najua utaumia sn kwakuwa unampenda lkn kumbuka maisha yako yote yalobaki dunian utaspend naye.sasa km umeanza stress Leo mpz kesho utavaa chup kichwan!!
 
kwanza kabla ya yote hataki mkachek afya na bado uko nae? na kabisa una consider ndoa nae? Plz tell me u r joking, na hayo mengine mwenzangu mmmh hapo huna mwanaume, na kinachokuweka sana sana ni hiyo issue ya umri lakini dada yangu ni heri uishi milele bila mume kuliko mume wa hivyo,nakuhakikishia ukiingia hata mwaka hutamaliza utarudi hapa kuomba ushauri jinsi ya kuomba talaka
 
kwanza kabla ya yote hataki mkachek afya na bado uko nae? na kabisa una consider ndoa nae? Plz tell me u r joking, na hayo mengine mwenzangu mmmh hapo huna mwanaume, na kinachokuweka sana sana ni hiyo issue ya umri lakini dada yangu ni heri uishi milele bila mume kuliko mume wa hivyo,nakuhakikishia ukiingia hata mwaka hutamaliza utarudi hapa kuomba ushauri jinsi ya kuomba talaka

true true!! Asiyesikia la mkuu!!
 
Laki pole sn najua unapitia wakati mgumu sn lkn jipe moyo.maisha ya mapz nin safar ndefu sn ilojaa mashaka,karaha,maudhi,dharau na raha kidogo sn km ulienaye c MTU sahih unaestahil Kuwa naye.ki kwel km facts za case yako iko hvyo huyo kaka hakupendi bali kuna anachokitaka toka kwako.mwanaume gan hajui waajbu wake km ana upendo wa dhati?yaan wew umeanza kulia hujaanza kukatakata kitunguu ukianza je c utapga ukunga???huyo mwache aende siyo wa kufanana nawe mumy.Najua utaumia sn kwakuwa unampenda lkn kumbuka maisha yako yote yalobaki dunian utaspend naye.sasa km umeanza stress Leo mpz kesho utavaa chup kichwan!!

Asante sana kwa ushauri, ntaufanyia kazi. Ndo najiuliza nini anachokitaka maana kama ni mapenzi hatufanyi, yeye ana hela zake za kumtosha tu lakini ndo ivo tena
 
ya leo c ya jana, 2naweza kusma muache na ukaangukia chooni.kumbka bnadmu hajui ya ksho. vumilia ila mngu ucmsahau kamwe
 
Back
Top Bottom