Mapenzi yananitesa, ni kwangu tu

Sasa huu umri si usome mapenzi badoo
Badoo hujakutana na mishangazii wee si utajiua
Nilitarajia hili mimi na mashangazi wapi na wapi?

Inshort mimi sio mtu ninayependa kufanya mapenzi sana

Shule πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tupo mtu ukisona unachopenda lzm ufauli hii haileti maana kuwa hatuvutiwi
 
Hana ata eX ila ndio hvyo hayanaga muongozo, tunamshauri hapa lakini 99% hatoutendea haki ushauri
Ex ninao ila sikuwala niliishia kati
Mother wangu risala nyingi alafu anakuwaga kama anauwezo wa utambuzi kupitia ndoto

Siku nikikutana nae asije akalifurusha bure
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…