Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,822
Tunza bikra yakoNayavumilia sana ila kusema kweli yamenikaba roho
Natokea kumwamini sana mtu alafu sometime kweli nachukia. Jamani hata kama sio kufanyiana hivi nayaacha mapenzi rasmi leo japo sijawahi lala na binti wa mtu since day one
Ila ndoto zangu na zizima leo, Katu sitataabika na binadamu, niwaze kufa na kusaka pesa na kutunza ndugu zangu wapendwa
Na bado mtu unayempa nafasi anakuzingua. Sina bahati sana kwakweli na sitakuwa nayo
🙄😞😞 Asije akashoboka binti wa mtu, nitakachomfanya atachukia watu wanaume wote

.hahahadronedrake fomu tafadhali
Pole kijanaNayavumilia sana ila kusema kweli yamenikaba roho
Natokea kumwamini sana mtu alafu sometime kweli nachukia. Jamani hata kama sio kufanyiana hivi nayaacha mapenzi rasmi leo japo sijawahi lala na binti wa mtu since day one
Ila ndoto zangu na zizima leo, Katu sitataabika na binadamu, niwaze kufa na kusaka pesa na kutunza ndugu zangu wapendwa
Na bado mtu unayempa nafasi anakuzingua. Sina bahati sana kwakweli na sitakuwa nayo
Asije akashoboka binti wa mtu, nitakachomfanya atachukia watu wanaume wote
Nayavumilia sana ila kusema kweli yamenikaba roho
Natokea kumwamini sana mtu alafu sometime kweli nachukia. Jamani hata kama sio kufanyiana hivi nayaacha mapenzi rasmi leo japo sijawahi lala na binti wa mtu since day one
Ila ndoto zangu na zizima leo, Katu sitataabika na binadamu, niwaze kufa na kusaka pesa na kutunza ndugu zangu wapendwa
Na bado mtu unayempa nafasi anakuzingua. Sina bahati sana kwakweli na sitakuwa nayo
Asije akashoboka binti wa mtu, nitakachomfanya atachukia watu wanaume wote
Leo nimeona Mzee mwenye miaka chini ya Ishirini.hahaha
uzi wa chit chat huu
mkuu unamiaka 19 bado haujachakata mbususu, there's something must be wrong somewhere
🤣🤣🤣🤣🙌View attachment 2575658
Inauma inauma lakini utazooeaa
😂😂😂 Sio kweli nimekuwepo miaka 5 nyuma humu ndaniMadogo yamepata simu za kupewa na shangaz zao huko majumban baada ya kufaulu hii elimu yao ya mchongo, baasi madogo washajiona watu wazima.
Madogo hawana adabu wanaingia JF kama vile wanavyoingia chooni, hakuna salamu hakuna shikamoo kwa wakubwa zenu, humu wengi babu zenu, bibi zenu, baba&mama zenu, pia kaka zenu wako humu.
19yrs dogo linawaza mapenzi, wakat huo wenzenu umri huo tulikuwa tunawaza tufanye nini kujikomboa na maisha, apart from mapenzi acha uzwazwa we dogo kasome shule, mapenz huyawez bado, em subir angalau uvuke 22yrs, muda huu tumia kuwaza kwanini friji likifungwa linazima Taa.
Hawa madogo wako wengi sana humu ndio hawa hawa shule zikifunga wanaibuka na topics/threads za kipuuzi puuzi na kutukana wakubwa zao humu..JF iwekwe sheria mtu ajiunge akiwa na umri angalau 24+ hawa madogo wakomae komae na Fb&IG , huku ni kwa Great thinkers only (JOKES tu dogo usiogope)
Tulia mdogo wetu kakaako nna 24 apa nimepoa tu ila naamini kuna sku atatokea yule ataenipenda/atakaekupenda relax tu mwanangu foxus kwenye money
We yako umetunzaTunza bikra yako
Nikishampaga demmu wangu wa kwanzaWe yako umetunza
Kumbeeee, Ngoja nijenge fensi niteseke naoKhaaaa na una miaka 30 mbele ya kuteseka
Hapo nimekupataJiangalie ww, nn kinakutesa kwenye mapenz? Maybe ni tabia zako au kuna mdhaifu unayo, chukua huo muda jijenge halaf rudi tena
😂😂😂 Sibiria tu mwaka kesho kutwaLeo nimeona Mzee mwenye miaka chini ya Ishirini.
Nipe dada yako uonemkuu unamiaka 19 bado haujachakata mbususu, there's something must be wrong somewhere
Poa kakaTulia mdogo wetu kakaako nna 24 apa nimepoa tu ila naamini kuna sku atatokea yule ataenipenda/atakaekupenda relax tu mwanangu foxus kwenye money
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaa poa, nilipoitoa anajua dronedrakeNikishampaga demmu wangu wa kwanza
Aaah 😅@Dejane tumwambie au tumuache kwanza
👍Kunywa maji, vuta pumzi ndefu maana safari bado ni ndefu mno. Pole sana.
Nachukua fomu za upadreSasa hujawahi kulala na binti ya mtu since day one na unataka kuacha mapenzi, utakua unalala na wanaume au wanyama mkuu?