Mapenzi yananitesa, ni kwangu tu

Mapenzi yananitesa, ni kwangu tu

Mimi kama 19 mwenzako nakushauri anza sasa kuchakata mbussu, mapema ndo best hata hivo najua you can feel the pressure kwa washkaji zako.....

Kumbuka, sio kila anayechakata mbussu yuko kwenye mahusiano, na sio kila aliyeko kwenye mahusiano, anachakata mbussu.....
 
Mimi kama 19 mwenzako nakushauri anza sasa kuchakata mbussu, mapema ndo best hata hivo najua you can feel the pressure kwa washkaji zako.....

Kumbuka, sio kila anayechakata mbussu yuko mahusiano, na sio kila aliyeko kwenye mahusiano, anachakata mbussu.....
Nitafata ushauri, ila Mungu hunitia huzuni sana nifanyapo baya
Naforce tu
 
Back
Top Bottom