Mapenzi yananitesa, bora nife tu

Wanawake wako two siides Killers/ Healers i.e Wauaji/Waponyaji. Ashura Unaua....
Sasa nilitegemea wanawake wa humu Jf sijui akina Joanah, Jtete na wengine Wamponye. Wampe zawadi. a.k.a wamtunuku ka kithuu...

Au unasemaje Marehemu Mtarajiwa?
 
Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta ila umenipa hasira, mwanaume halili mapenzi wanawake wako kwani huyo Ashura ana uke wa dhahabu??
Anajua kuifinyia kwa ndani mkuu.
 
Wenzetu mapenzi mnayachukulia serious sana kumbe aisee au sijawahi kupenda
 
Ngoja nimuite Joanah
 

Dhumuni la uwepo wako hapa duniani ni kwa ajili ya mapenzi?
 
Kwa mambo kama haya Wanaume wanakua viumbe villivyo hatarini kutoweka si miongo mingi ijayo
 
Unatakiwa ufe pumbavu kabisa
Dungamawe mimi sikubaliani kabisa na uamuzi wako wa kujiondoa nazidi tena kuku kumhusha kwamba Mungu muumbaji wetu anakupenda sana.Hiyo changamoto uliyoisema ni ndogo sana ukilinganisha na za wengine ukizisikiliza.Acha kabisa hayo mawazo nasema achaaa.
 
Asante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…