Mapenzi yananichanganya

Mapenzi yananichanganya

Kariakoo nilikuta mchele "dizaini moja" lakini lebo mbalimbali.
Hali hiyo ilinisukuma kumuuliza mfanyabiashara pale, kwanini mchele ni "mmoja" lakini bei tofauti? Alichonieleza kilinishangaza sana, lakini baada ya kutafakari niligundua kuwa ni kweli na sahihi.
Alinieleza hivii? 'Mtu mwenye fedha zake hapendi vitu vya gharama nafuu'.
Kwa hiyo anachokifanya yeye ni kutengeneza lebo za gharama tofautitofauti kwa mchele uleule na kupata faida kubwa sana.
Nimechukulia mfano wa mchele kuonesha jinsi binadamu anavyopenda vitu ghali, vitu vya gharama hata kama uhalisia vitu hivyo viko sawa kiuthamani na vitu vingine.
Hivi, kwa mwanamke anayejitambua na kutambua uthamani wa wake aliojaaliwa na M/Mungu, anawezaje kujirahisisha kwa mwanamme kiasi hicho?
Ndiyo maana kizazi cha sasa wasichana hawaoleki, wanaishia kuzalishwa majumbani na kuletea kashifa wazazi na familia.
Sijadili uhawara au mapenzi nje ya mfumo, hapana.
Ninajadili mahusiano ya kindoa.
Mwanaume kakutongoza kiutanitani, tena kwa siku moja tu, tayari "unayeyema"
Mwanamke mzuri kwa mwanaume ni mwanamke mgumu.
Kataa mtongozaji, mtukane akukome, kamshitaki kwenye "uongozi" ili wamkanye asikufuatefuate, mwambie wazi haumpendi, mzungushe sana kumpima. Anayekata tamaa mapema si muoaji.
Hiyo mbinu ni chekecheo la kumpata mwanaume "mwenza".
Masimango na manyanyaso kwenye utongozaji ndiyo humuongezea thamani mwanamke na kumtofautisha kwa mbali kabisa na mwanamke "maharage ya mbeya" Waoaji hawapendi mwanamke wa rahisirahisi.
Onyesha uthabiti wako na msimamo kwa wanaume wakutakao ama uwatakao, watakuheshimu na ndiyo utapata mwanaume halisi wa chaguo lako. Vinginevyo utatumiwa kama karai la zege, ambapo baada ya kutumika hutupwa "stoo" bila kusafishwa.
Hata huyo wa nje, usiende, kwa sababu haujahalalishwa na wazazi kuweza kuishi nae.
Kama anakupenda, afunge safari aje akupose akuoe.
Vinginevyo mama " yeneyako".
Nimekuelewa sana mkuu,ila hata hao wanaume wenyewe unaowazungumzia co kama wale wa zamani ukimzungusha kidogo tu kakimbia anakwambia cna muda wa kupoteza kwa mwanamke mmoja,au ikitokea kavumilia masimango na dharau ulizomwenyesha tayari yy anajiwekea target yake kuwa cku akikupata lazma ala papuchi afu anasepa zake hapo anakuwa amelipizia usumbufu aliyopata.au wengine unawazungusha weee anakuwa mvumilivu bt cku ukimkubali anategemea after some days or months ale mzigo ukimbania mzigo ndo anasepa kabisaa anasema hawezi kuona yy anabaniwa wakati wengine wanapata(yani anadhani kunamwingine unampa....hii imenifanya niwapotezee wengi coz niliona wako after papuchi tu coz kama kweli walinipenda co shida kunivumilia mpaka nitakapokuwa tayari) bt kwa yule jamaa maringo yy alikuwa tofauti hakuwa ana entertain sex kabisa(kama alikuwa anagonga nje mimi cjui bt nachojali alionyesha respect na ckuwahi kumuhic anagonga nje) ndo maana nilichanganyikiwa kwake
 
pole sana, naomba nikushauri kuwa kuanzia leo futa mahusiano yako yote anza upya....chukua peni na karatasi andika sifa za mtu ambaye unamhitaji
mfano
1.mtanashati
2.mwenye pesa
3.asiye na maringo
4.aliyeishika dini yake
5.awe na kagari
6.awe na kanyumba
7.awe hajawahi kuwa na mtoto n.k

ukishaorodhesha sifa za mpenzi unaye mhitaji jiulize hao uliokuwa nao wanazosifa unazotaka? kama hawana endelea kusubiri huku ukimuomba Mungu.....ila kamwe usijaribu kutoka na mtu ambaye hana sifa....ata kama kapungukiwa sifa moja...na mara nyingi hizo sifa huwa mtu hajiandikii tuu, ni vitu vinavyojireta systematic hupangi kuna univerce inakupangia hivyo ukifanya pasipo kufuata maono uliyonayo ndipo mtu huangukia kwenye mikono ya mahusiano yasio salama....nakutakia mafanikio mema MUNGU akupe baraka, mafanikio na amani.
 
pole sana, naomba nikushauri kuwa kuanzia leo futa mahusiano yako yote anza upya....chukua peni na karatasi andika sifa za mtu ambaye unamhitaji
mfano
1.mtanashati
2.mwenye pesa
3.asiye na maringo
4.aliyeishika dini yake
5.awe na kagari
6.awe na kanyumba
7.awe hajawahi kuwa na mtoto n.k

ukishaorodhesha sifa za mpenzi unaye mhitaji jiulize hao uliokuwa nao wanazosifa unazotaka? kama hawana endelea kusubiri huku ukimuomba Mungu.....ila kamwe usijaribu kutoka na mtu ambaye hana sifa....ata kama kapungukiwa sifa moja...na mara nyingi hizo sifa huwa mtu hajiandikii tuu, ni vitu vinavyojireta systematic hupangi kuna univerce inakupangia hivyo ukifanya pasipo kufuata maono uliyonayo ndipo mtu huangukia kwenye mikono ya mahusiano yasio salama....nakutakia mafanikio mema MUNGU akupe baraka, mafanikio na amani.
Amina thanks for your advice
 
pole sana, naomba nikushauri kuwa kuanzia leo futa mahusiano yako yote anza upya....chukua peni na karatasi andika sifa za mtu ambaye unamhitaji
mfano
1.mtanashati
2.mwenye pesa
3.asiye na maringo
4.aliyeishika dini yake
5.awe na kagari
6.awe na kanyumba
7.awe hajawahi kuwa na mtoto n.k

ukishaorodhesha sifa za mpenzi unaye mhitaji jiulize hao uliokuwa nao wanazosifa unazotaka? kama hawana endelea kusubiri huku ukimuomba Mungu.....ila kamwe usijaribu kutoka na mtu ambaye hana sifa....ata kama kapungukiwa sifa moja...na mara nyingi hizo sifa huwa mtu hajiandikii tuu, ni vitu vinavyojireta systematic hupangi kuna univerce inakupangia hivyo ukifanya pasipo kufuata maono uliyonayo ndipo mtu huangukia kwenye mikono ya mahusiano yasio salama....nakutakia mafanikio mema MUNGU akupe baraka, mafanikio na amani.
Alafu ttz ni kwa ndugu na marafiki zangu wengi wananambia Maki J ur too selective eti niache kuchagua sanaaaa coz miaka itaenda na nitabaki kuwa single....mm cwez kuwa na mtu asiye na vigezo navyotaka mm mfano hata kigezo kimoja kikikosekana nakosa mvuto au nakuwa na doubt nae sanaa....like nataka mtu anaizid atlist kuanzia 6yrs,asiwe na mtt,awe Christian tena RC,n.k so ikitokea nikapata mtu anavigezo vyote kasoro labda ana mtt au sio Christian hapo naona hakuna future
 
You are very right!!
Mwambie kwa upendo kwamba aje kukuchukua , kwa kukubaliana na wewe kuja kukuchukua basi atakuwa anamaanisha, na suala la wewe kuweza kumpenda wala usijari pale mtakapo kuwa karibu automatically uta- fall in love na yeye kinouma. Zaidi ukishaonja dushele.
 
Tatizo ulijipaisha sana mpaka akaamua kutafuta wa hadhi yake. Next time usome nyakati sio lazima aseme ila ungemtengenezea mazingira ya kuwa karibu nae zaidi angesema Siku moja. So mtafute umwambie ukweli.


Ova
 
Tatizo ulijipaisha sana mpaka akaamua kutafuta wa hadhi yake. Next time usome nyakati sio lazima aseme ila ungemtengenezea mazingira ya kuwa karibu nae zaidi angesema Siku moja. So mtafute umwambie ukweli.


Ova
Sidhani kama umenielewa!
 
Tatizo ninaloliona kwako kuwa wewe unajiona kama dhahabu na pia huna Tabia ya kuwathamini wanao kupenda. Hapo juu kwa huyo jamaa wa kwanza ulikili kuwa alikupenda sana lakini wewe hukuonyesha kumjali hadi alipochoka ndipo ukaona umuhimu wake na kuanzia kumtafuta. Hakuna mtu anayependa kuchezewa hisia zake jitahidi kumthamini kidogo kadada hata kama hukumpenda.
Huyu mwingine naye utampoteza pia usipobadilika au unataka mpaka aje akupigie magoti?. Unajiloga mwenyewe wala usitafute mchawi hapo.
Jamaa wa kwanza namkubali sana , coz ni mwanaume wa kweli anayeamua jambo mara moja , alipoona hapendwi na kuthaminiwa basi ikatokea kama bahati akapenda binti mwingine na binti naye akapokea upendo basi jamaa akamsahau mazima bibie na matokeo yake bibie leo analialia
 
Mapenzi ya urafiki kwanza ni mazuri sana maana siku hata mkitibuana mna solve mambo as friend kwanza
Tofauti ya huyu wa pili ni kama rafiki yangu yani cmwonei aibu kwa chochote yani akiniboa ni rahic kumwambia na yy kunielewa because tumekuwa Friends tangu chuo( labda kwenye kula papuchi...coz ckuwahi waza kama nitakuja kudate nae)
 
Sikushauri ujibebe tu na kujiendea tu in the name ya kumfuata mtu anayedai anakupenda.

Muambie aje kwenu afuate taratibu zinazotakiwa akuoe na uende huko aliko kama mkewe. Usijaribu kwenda bila yeye kutimiza hili sharti...utakuja kujuta na utakuwa umejipotezea muda. Kama kweli anakupenda na asingependa kukupoteza basi atafanya hivyo...ni sharti jepesi kwa wanaume walio serious...na i trust kwamba atakuheshimu for that!!

Ishu ya kwamba humpendi kihivyo kwangu mimi sio ya msingi sana kwasababu kama jamaa is truly a loving and caring guy then hakuna shaka utajifunza kumpenda kama mpenzi.

Huyo mwingine unayemwita mwenye "maringo" achana naye. Ashapata aliyeziba nafasi yako. Perhaps you somehow failed your test mkuu. Kwahiyo kuwa mpole!!
 
Nenda dada ukapate kitu roho inapenda...... acha kuumiza moyo na asiyekupenda,
 
Mh tatzo linakuja uko nje ukaenda alaf akikubadlikia huko inakuwaje hapo ndo shda
 
Ww papuch lazma iliwe kukaa na mwanaume chumba 1 alaf ucmpe papuch ni vgumu sana lazma akubake kama ukimnyima ingekuwa mnakaa mbal mbal sawa
 
Sikushauri ujibebe tu na kujiendea tu in the name ya kumfuata mtu anayedai anakupenda.

Muambie aje kwenu afuate taratibu zinazotakiwa akuoe na uende huko aliko kama mkewe. Usijaribu kwenda bila yeye kutimiza hili sharti...utakuja kujuta na utakuwa umejipotezea muda. Kama kweli anakupenda na asingependa kukupoteza basi atafanya hivyo...ni sharti jepesi kwa wanaume walio serious...na i trust kwamba atakuheshimu for that!!

Ishu ya kwamba humpendi kihivyo kwangu mimi sio ya msingi sana kwasababu kama jamaa is truly a loving and caring guy then hakuna shaka utajifunza kumpenda kama mpenzi.

Huyo mwingine unayemwita mwenye "maringo" achana naye. Ashapata aliyeziba nafasi yako. Perhaps you somehow failed your test mkuu. Kwahiyo kuwa mpole!!
Am sure nikimwambia hvy hatokataa bt mm ndo ctak kuji commit mapema mpka na mm ni foll in love kwake ndo niruhusu hayo...mm nataka niende ili nimsome vizur upande wa pili like mpenzi....coz tayar namjua as Friend
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom