Mapenzi yananichanganya

Mapenzi yananichanganya

Pole dada yangu mpendwa, ukubwa ni jalala bado utakutana na mengi:milima, viunzi, vihoja, vizuizi,vituko,mateso,mishtuko e.t.c as long as you are living!!.......am wishing you joy and happiness!
 
Ttz najiuliza nitaweza kumpenda kweli kama mpenzi wangu coz mm nilikuwa namchukuli like friend tu
Kumbuka mapenzi huanza na urafiki, pili usikubali kwenda nchi za watu kichwa kichwa, kuna kikwazo gani cha yeye kuja Bongo na kufuata taratibu, akakuchukua mkaenda kuishi huko mkitambulika rasmi.
Hivi ushajiuliza unaenda huko ukiwa kama nani kwake?
Una uhakika gani hawezi kukutumia na kukutekeleza huko kwa watu?
KUWA MAKINI NA UAMUZI UTAKAOCHUKUA.
 
kumpenda mtu inatokana na ukaribu na mazoea... mkiwa hivyo kwa muda hata kama humpendi utajikuta chembe chembe za upendo zinaanza..!!!
Natamani haya unayoandika iwe kweli
 
Kumbuka mapenzi huanza na urafiki, pili usikubali kwenda nchi za watu kichwa kichwa, kuna kikwazo gani cha yeye kuja Bongo na kufuata taratibu, akakuchukua mkaenda kuishi huko mkitambulika rasmi.
Hivi ushajiuliza unaenda huko ukiwa kama nani kwake?
Una uhakika gani hawezi kukutumia na kukutekeleza huko kwa watu?
KUWA MAKINI NA UAMUZI UTAKAOCHUKUA.
Thanks for advice,bt nilisahu kusema kuwa yy ndo atanifuta huku,bt siwez kuwambia wazazi kuwa ni rafiki wa kiume hawatonielewa kwenda kuishi na mwanaume hata mahari ajatoa,sema ni mapema sanaa kuongelea ishu za mahari so mm nimewambia nirfiki wa kike bt ndugu zangu (kaka na dada)ndo nimewambia kuwa ni boyfriend
 
IMG_20170401_234307.jpg


You deserved it
Ila pole
 
Thanks for advice,bt nilisahu kusema kuwa yy ndo atanifuta huku,bt siwez kuwambia wazazi kuwa ni rafiki wa kiume hawatonielewa kwenda kuishi na mwanaume hata mahari ajatoa,sema ni mapema sanaa kuongelea ishu za mahari so mm nimewambia nirfiki wa kike bt ndugu zangu (kaka na dada)ndo nimewambia kuwa ni boyfriend
Sawa, ila kwa mimi nionavyo huyo kijana humpendi, bali uko tayari kujilipua kwenda kuishi nae sababu huna ajira au kazi ya kufanya. Jishuhulishe acha kua tegemezi then ukiwa independent na still bado mkawa rafiki, maamuzi utakayochukua naamini hayatokuwa influenced na jambo fulani.
We hujiulizi kwanini unaona guilt kwenda kuishi nae huko?
Hivi lingekua jambo la heri ungefeel guilt hivyo?
Usiharakie maisha. (Mawazo yangu)
 
Mpendwa akipendwa asipende akija kupenda hapendwi! Ukipendwa na we penda acha mapozi mfu!!
 
Sawa, ila kwa mimi nionavyo huyo kijana humpendi, bali uko tayari kujilipua kwenda kuishi nae sababu huna ajira au kazi ya kufanya. Jishuhulishe acha kua tegemezi then ukiwa independent na still bado mkawa rafiki, maamuzi utakayochukua naamini hayatokuwa influenced na jambo fulani.
We hujiulizi kwanini unaona guilt kwenda kuishi nae huko?
Hivi lingekua jambo la heri ungefeel guilt hivyo?
Usiharakie maisha. (Mawazo yangu)
Yani niko njia panda sometimes naona bora niende ili anifundishe hz biashara ikiwezekana anipe na mtaji afu nimpotezee......bt ikitokea nikawez kumpenda then tuanzishe mahusiano.....bt cjui nitamkwepaje asile ppuchi coz kama nikienda nitafikia kwake and tulala room moja sasa kumkwepa cjui itakuwaje
 
Unae mpenda wewe unamjua ila akupendae humjui
 
Yani niko njia panda sometimes naona bora niende ili anifundishe hz biashara ikiwezekana anipe na mtaji afu nimpotezee......bt ikitokea nikawez kumpenda then tuanzishe mahusiano.....bt cjui nitamkwepaje asile ppuchi coz kama nikienda nitafikia kwake and tulala room moja sasa kumkwepa cjui itakuwaje
Binti naona maisha yanakuchanganya hebu kaa tuliza akili, hujachelewa, usifikiri kuna kitu cha bure kwenye hii dunia, anaweza akachakaza papuchi yako na ukarudi Bongo na ndala. Kwanini usitumie akili ulizopewa na nguvu kujipatia kipato?
Hivi unajifunzaga kweli kwa watu waliofanikiwa kwa juhudi na nguvu walizotumia zikionekana wazi (ambao hawakutegemea kuchuna mabuzi).
Tulia tafuta kitu cha kufanya, na wewe uwe na maisha yako, na pia kama ndiye Mungu aliyekupangia atakua wako tuu. Hata bila kuchuna mwanaume (kama unavyowaza) unaweza kufanikiwa.
 
Binti naona maisha yanakuchanganya hebu kaa tuliza akili, hujachelewa, usifikiri kuna kitu cha bure kwenye hii dunia, anaweza akachakaza papuchi yako na ukarudi Bongo na ndala. Kwanini usitumie akili ulizopewa na nguvu kujipatia kipato?
Hivi unajifunzaga kweli kwa watu waliofanikiwa kwa juhudi na nguvu walizotumia zikionekana wazi (ambao hawakutegemea kuchuna mabuzi).
Tulia tafuta kitu cha kufanya, na wewe uwe na maisha yako, na pia kama ndiye Mungu aliyekupangia atakua wako tuu. Hata bila kuchuna mwanaume (kama unavyowaza) unaweza kufanikiwa.
Sawa nimekuelewa mkuu.... nitaufanyia kazi ushauri wako.. shukrani
 
Jamani why mapenzi yanatu drive crazy?Kuna mkaka aliwahi kuonyesha interest kwangu bt Never mentioned "I LOVE U"bt alionyesha kunijali like kuniletea zawad ya vitu navyopenda tena nyumbani afu muda wa kazi (because he is working bt am not working)so nikasafir for 3weeks nikanza kuona mabadiliko nawasiliano yakapungua sana mpaka nikarud Hali ni ile ile nikiuliza what happens anasema u-busy tu so mm ndo nikawa na force nawasiliano....nikapata hasira nikamwambia asinitafute bt after one month ya ku-block nikaanza kumtafuta tena bt akawa anaonyesha dharau kubwa like mpka ajisikie kujibu ndo anajibu,so now for SURE nimechoka and ninachuki moyoni....bt kuna this guy tulikuwa tunasoma nae chuo we used calling each other baby na utani mwingi kumbe mwezangu alikuwa akimanisha and he says he love me now anafanya biashara nchi jirani naTz sasa anataka anitumie hela niende nikaishi nae coz now ajira ni ngumu Tz,Ttz ni kwamba mm am not sure kama nampenda kweli kwa sababu nmchukulia tu like normal friend,and I do wish anavyonipenda ndo ningekuwa napendwa na yule mkaka mwenye maringo,so guys hebu nishaurini ingekuwa ww ungefanyaje?.......yani itakuja kuwezekana kumpenda kama anavyonipenda yy?coz he really love's me so much
Achana na mwenye maringo, utalia kila siku.. Tena mtupilie mbali, ukipendwa utapenda tuu, wanawake tunajifunza kupenda sana tuu, mie yule kaka ambae haku show interest kwangu when I was craving for his love nishamtupia kwene dustbin and I'm happy. Stay with someone who loves u, uta enjoy kikubwa badili attitude yako. Hata usipoenda nje kwa huyo kaka ushauri wangu ni ule ule, penda unapopendwa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom