Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Ndo hapo mnapokosea wewe nimekuoa uje ufanye nn kwenye nyumba yangu?
Ukizingatia mm ndo kichwa cha familia gharama zote na gharamia mm pamoja na kukuhifadhi wewe sa nipeleke huku kufanya nn wkt wewe upo upo tu?
eti? Lord have mercy on u!....unanihifadhi nimekuwa furuushi la mtumba?