Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Unakuta mkeo anapigiwa pasi na HG nguo zake za kwenda kazini na mwanaume unajipigia pasi mwenyewe na ukimpa HG akupigie ni ugomvi na ukimwambia mkeo akupigie anakuambia anajisikia uchovu.... hapo ni mapenzi yamefifia/yameisha ama kuna jambo jengine wakulu.........