Mapenzi yameisha ama?????

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Unakuta mkeo anapigiwa pasi na HG nguo zake za kwenda kazini na mwanaume unajipigia pasi mwenyewe na ukimpa HG akupigie ni ugomvi na ukimwambia mkeo akupigie anakuambia anajisikia uchovu.... hapo ni mapenzi yamefifia/yameisha ama kuna jambo jengine wakulu.........
 
Wakulu ni akina nani? Aidha, huenda nawe unanyemelea kwa HG huyo...! Lakini ukweli ni kwamba unafanywa mwanaume suruali...! Badili tabia..
 
Wakulu ni akina nani? Aidha, huenda nawe unanyemelea kwa HG huyo...! Lakini ukweli ni kwamba unafanywa mwanaume suruali...! Badili tabia..

Umeelewa kilichoandikwa kweli? uanaume suruali unatoka wapi hapo???????:playball:
 
Umeelewa kilichoandikwa kweli? uanaume suruali unatoka wapi hapo???????:playball:

Kwa sababu mkeo ndio anaprovide kila kitu hapo including kumhudumia na kumlipa huyo hg wewe kazi kula, kutaka upigiwe pasi na kila kitu. Changamka tetea uanaume wako uone kama hujaheshimiwa. HAPO WEWE NI MWANAUME SURUALI TU
 
Unakuta mkeo anapigiwa pasi na HG nguo zake za kwenda kazini na mwanaume unajipigia pasi mwenyewe na ukimpa HG akupigie ni ugomvi na ukimwambia mkeo akupigie anakuambia anajisikia uchovu.... hapo ni mapenzi yamefifia/yameisha ama kuna jambo jengine wakulu.........

Pana jambo linamkera mkeo hapo si bure!
 
Kwa sababu mkeo ndio anaprovide kila kitu hapo including kumhudumia na kumlipa huyo hg wewe kazi kula, kutaka upigiwe pasi na kila kitu. Changamka tetea uanaume wako uone kama hujaheshimiwa. HAPO WEWE NI MWANAUME SURUALI TU

Mmmmh! Maty wewe upo single au tayari umeshaolewa?labda ningependa kujua hilo!
 
Kwa sababu mkeo ndio anaprovide kila kitu hapo including kumhudumia na kumlipa huyo hg wewe kazi kula, kutaka upigiwe pasi na kila kitu. Changamka tetea uanaume wako uone kama hujaheshimiwa. HAPO WEWE NI MWANAUME SURUALI TU

Mkurupukaji mwingine!! Wapo pameandikwa mkewe anaprovide kila kitu? Hawa wote wanafanya kazi na muda wa kuondoka ni mmoja na pia huduma za nyumbani mwanaume anahusika kama kurudi na mboga! Mafuta ya kupikia! Kuweka mafuta ya gari! Kulipa kodi ya Pango hayo yote mwanaume anafanya! Sasa usuruali wake upo wapi? yeye kauliza jambo la yeye mwanaume kupiga pasi nguo zake za kazini mwenyewe wakati za mkewe zinanyooshwa na HG:becky::becky::becky:
 
Kwa sababu mkeo ndio anaprovide kila kitu hapo including kumhudumia na kumlipa huyo hg wewe kazi kula, kutaka upigiwe pasi na kila kitu. Changamka tetea uanaume wako uone kama hujaheshimiwa. HAPO WEWE NI MWANAUME SURUALI TU

Afadhali umenitangulia....!
 
Rafiki yangu alikuwa anataka kuoa, akamwambia mamake kuwa amepata mchumba. Mamake akasema hongera mwanangu, hilo ni jambo jema, lakini je umekwisha kumuona mama yake? Akajibu "hapana". Akamwambia "jitahidi basi ukamuone mama yake. alivyo mama yake sasa, ndivyo atakavyokuwa mkeo baada ya miaka 20, hivyo utajua kama utaendelea kumpenda baada ya miaka 20!
Baadhi ya hawa wenzetu (kama si wote) tunatakiwa kuwajua vizuri kabla ya kuwaoa maana huficha tabia zao kama ilivyo kwa huyo wife.Hiyo ni tabia mbaya huna budi kupambana,hamuwezi kuishi kwa style hiyo
 
Kaka Kimbweka mwenzio wife wangu hapendi kupiga pasi kabisaa miaka yote 8 ya ndoa mie ndo nampigia pasi kila tunapotaka kwenda kwenye mishe mishe. nisipokuwepo yeye hupigiwa pasi na HG wetu. mimi sipendi kupigiwa pasi na HG but kuna vitu huwa napaswa kuvifanya mimi lkn yeye huvifanya kwa moyo mmoja. so mkuu usikariri sana kwamba wife lazima akupigie pasi, na yeye mpe nafasi achague nini anaweza fanya kwa moyo. Mfano mdogo tu mimi hupiga deki room kwetu, kufuta vumbi, kufua kufuli zetu wawili (PANTS), kupiga pasi, kutandika kitanda. Mwenzangu yeye anakipaji cha ku bargain so mimi huitwa tu wakati wa kuangalia na kulipia nyumba pale tunapotafuta house ya ku rent, hii kazi ya kutafuta house yeye huifanya na anaiweza kwa sana tuu labda kwa vile ni mtoto wa kichaga so anajua pesa inatafutwaje. Kwa ujumla ukimtuma kazi anaifanya vile unavyotaka ifanyike. Mimi ndo main bread winner yeye anafanya biashara ya kawaida tuu. Mkuu jitahidi sana kumsoma wife wako uwezo wake upo wapi mpe nafasi , sometimes si mapenzi yamepungua ila wapi uwezo wake upoo, na kuwepo na kusaidiana sometimes ule ubaba tuuondoe kidogo, ukimpa nafasi nadhani smile lile la UCHUMBA litarudi tena
 
Mkurupukaji mwingine!! Wapo pameandikwa mkewe anaprovide kila kitu? Hawa wote wanafanya kazi na muda wa kuondoka ni mmoja na pia huduma za nyumbani mwanaume anahusika kama kurudi na mboga! Mafuta ya kupikia! Kuweka mafuta ya gari! Kulipa kodi ya Pango hayo yote mwanaume anafanya! Sasa usuruali wake upo wapi? yeye kauliza jambo la yeye mwanaume kupiga pasi nguo zake za kazini mwenyewe wakati za mkewe zinanyooshwa na HG:becky::becky::becky:

Utakuwa unaonesha ishara mbaya kati ya mkeo na huyo HG! Hivyo, anajaribu kuwaweka mbali! Tafadhali, jirekebishe...! Mkweli/Mwenyehaki si lazima awe mlalamikaji, hata mlalamikiwa anaweza kuwa na umweli kuliko mlalamikaji...! Hivyo, sio lazima tukuunge mkono, na kukujibu kama unavyopenda wewe, bali ni jinsi mambo yanavyodhihirisha. Kaa chini na mwenzio na umweleze ni jinsi gani unavyoumia na kusononeka kwa hilo. Huenda akakupasulia jipu! Lakini usije ukawa kuna kipindi ulifanya INFIDELITY na HG huyo ukidhania hautajulikana, kumbe unachoreka tu...!
 
Mkurupukaji mwingine!! Wapo pameandikwa mkewe anaprovide kila kitu? Hawa wote wanafanya kazi na muda wa kuondoka ni mmoja na pia huduma za nyumbani mwanaume anahusika kama kurudi na mboga! Mafuta ya kupikia! Kuweka mafuta ya gari! Kulipa kodi ya Pango hayo yote mwanaume anafanya! Sasa usuruali wake upo wapi? yeye kauliza jambo la yeye mwanaume kupiga pasi nguo zake za kazini mwenyewe wakati za mkewe zinanyooshwa na HG:becky::becky::becky:

Kwani umesikia wanaume suruali hawafanyi kazi? wanafanya kazi lakini akishaona mkewe ana kazi basi majukumu yote anamuachia mama anaondoka patupu akirudi anataka akute chakula, apigiwe pasi n.k ndio maana mke anaona bora ujifanyie kazi wewe mwenyewe na inaonyesha pia huna maelewano mazuri na mkeo. Na hata huyo hg anajua kabisa mama ndio mwenye kuprovide kila kitu ndio maana hata hakunyooshei pasi. Kwanza inaonyesha umeolewa inabidi wewe ndio uwe unampigia pasi mkeo ungekuwa umeoa kikweli kweli mwanamke ni mwanamke tu lazima awe chini hawezi kukataa kukupigia pasi
 
Rafiki yangu alikuwa anataka kuoa, akamwambia mamake kuwa amepata mchumba. Mamake akasema hongera mwanangu, hilo ni jambo jema, lakini je umekwisha kumuona mama yake? Akajibu "hapana". Akamwambia "jitahidi basi ukamuone mama yake. alivyo mama yake sasa, ndivyo atakavyokuwa mkeo baada ya miaka 20, hivyo utajua kama utaendelea kumpenda baada ya miaka 20!
Baadhi ya hawa wenzetu (kama si wote) tunatakiwa kuwajua vizuri kabla ya kuwaoa maana huficha tabia zao kama ilivyo kwa huyo wife.Hiyo ni tabia mbaya huna budi kupambana,hamuwezi kuishi kwa style hiyo

Asante mkuu ujumbe umefika
 
Kwani umesikia wanaume suruali hawafanyi kazi? wanafanya kazi lakini akishaona mkewe ana kazi basi majukumu yote anamuachia mama anaondoka patupu akirudi anataka akute chakula, apigiwe pasi n.k ndio maana mke anaona bora ujifanyie kazi wewe mwenyewe na inaonyesha pia huna maelewano mazuri na mkeo. Na hata huyo hg anajua kabisa mama ndio mwenye kuprovide kila kitu ndio maana hata hakunyooshei pasi. Kwanza inaonyesha umeolewa inabidi wewe ndio uwe unampigia pasi mkeo ungekuwa umeoa kikweli kweli mwanamke ni mwanamke tu lazima awe chini hawezi kukataa kukupigia pasi

Mwalimu wako alikuwa anakazi kubwa ya kukuelimisha:becky::becky::becky:
 
Utakuwa unaonesha ishara mbaya kati ya mkeo na huyo HG! Hivyo, anajaribu kuwaweka mbali! Tafadhali, jirekebishe...! Mkweli/Mwenyehaki si lazima awe mlalamikaji, hata mlalamikiwa anaweza kuwa na umweli kuliko mlalamikaji...! Hivyo, sio lazima tukuunge mkono, na kukujibu kama unavyopenda wewe, bali ni jinsi mambo yanavyodhihirisha. Kaa chini na mwenzio na umweleze ni jinsi gani unavyoumia na kusononeka kwa hilo. Huenda akakupasulia jipu! Lakini usije ukawa kuna kipindi ulifanya INFIDELITY na HG huyo ukidhania hautajulikana, kumbe unachoreka tu...!

Mume ni mlokole:focus:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom