Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
- Thread starter
- #21
Kaka Kimbweka mwenzio wife wangu hapendi kupiga pasi kabisaa miaka yote 8 ya ndoa mie ndo nampigia pasi kila tunapotaka kwenda kwenye mishe mishe. nisipokuwepo yeye hupigiwa pasi na HG wetu. mimi sipendi kupigiwa pasi na HG but kuna vitu huwa napaswa kuvifanya mimi lkn yeye huvifanya kwa moyo mmoja. so mkuu usikariri sana kwamba wife lazima akupigie pasi, na yeye mpe nafasi achague nini anaweza fanya kwa moyo. Mfano mdogo tu mimi hupiga deki room kwetu, kufuta vumbi, kufua kufuli zetu wawili (PANTS), kupiga pasi, kutandika kitanda. Mwenzangu yeye anakipaji cha ku bargain so mimi huitwa tu wakati wa kuangalia na kulipia nyumba pale tunapotafuta house ya ku rent, hii kazi ya kutafuta house yeye huifanya na anaiweza kwa sana tuu labda kwa vile ni mtoto wa kichaga so anajua pesa inatafutwaje. Kwa ujumla ukimtuma kazi anaifanya vile unavyotaka ifanyike. Mimi ndo main bread winner yeye anafanya biashara ya kawaida tuu. Mkuu jitahidi sana kumsoma wife wako uwezo wake upo wapi mpe nafasi , sometimes si mapenzi yamepungua ila wapi uwezo wake upoo, na kuwepo na kusaidiana sometimes ule ubaba tuuondoe kidogo, ukimpa nafasi nadhani smile lile la UCHUMBA litarudi tena
Sasa mkuu mke alishaizoesha hii tabia ya kupiga pasi halafu ghafla bin vuuu inatoweka si inabidi ujiulize:becky::becky:
Mzee kama unakumbuka kuna sehemu nilishawahi sema pia mie nina kipenda roho cha kufua masoksi ya nanii .......... makufuli:becky: