Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,418
Daaah! Very sad. Pole sana kwakweli.
Asante sana kwa ushauri wengi wamekuja inbox na wengi wamenishauri njia moja ya kupona ni kuamwua kuwa na yesu kama ni hilo tu mimi sioni kama nitashindwa ingawa najua kila jambo linachangamoto zake. nimekubali kuokoka uzuri mimi ni mkristo tangu tangu udogo wangu lakini sikuwa mwokovu ninachohitaji mimi ni kupona kama yesu mnae niambia ndio dawa basi mimi nitaitafuta hiyo dawa
Ushauri wangu nenda ukapime sehemu nyengine tena, Kuna baadhi ya wakati vile vipimo huchanganya(chako akapewa mwengine na kipimo cha mwengine ukapewe wewe). Jaribu kwenda sehemu kama 3 tofauti kupima tena kama ukipata majibu sawa hapo kubali matokeo. Lakini kama ikitokea upo positive basi angalia dawa za kienyeji au za hospitali ziweze kukusaidi, kila maradhi yana dawa yake muhimu kuipata na kufata masharti yake tu. Nakutakia afya njema na maisha marefu ya furaha.Siku moja walipita watu ofisini wakiwa wanahamasisha tupime afya zetu mimi nilikua mmojawapo nilipima na ndipo majibu yangu yakaja am HIV POSITIVE ndugu zangu sina cha kuwaambia maana usiombe uambiwe una virusi vya UKIMWI
Wazo la kupima tena naunga mkono.Kuna ndugu yangu alishawahi kuambiwa anaukimwi hospital ya wilaya magu wakamwanzishia na dozi na alionyesha kweli anaukimwi ukimuagalia kumbe alikua na maradhi mengine na vipimo vya awali walikosea mwanaye alipokwenda mkoa na kumpeleka hospital nyingine kupima akaonekana hana ukimwi akarudi tena magu hopital akaonekana hana ukimwi .....ikawa ajabu kumbe aliyempima sijui alikosea na magonjwa nyemelezi aliyokuwa nayo kutapika mara kwa mara ni wrong dozi ya pressure alikuwa amepewa...please jaribu kupima tena na mwenzi wako na kama utaonekana unao fuata masharti na utaishi muda mrefu tafauti unavyofikiria.