Mapenzi yamebeba vifo

Mapenzi yamebeba vifo

Pole sana dada
Mungu ni mwema amesikia kilio chako....jipe moyo kazana kumuomba Mungu na usiache kujipenda, jitahidi kuondoa hayo mawazo ya kwamba hakuna atakae kupenda ukiwa positive.

Mungu anafanya njia pasipo na njia na njia zake si kama zetu, utashinda.
 
Pole sana sana Dada. Pole sana. Naomba uje inbox tunaweza kuongea mambo mawili matatu.

Pole sana dear.... Pole sana Mwanamke mwenzangu. Pole Pole dear... Hakika inaumiza sana.

nitakutafuta asanteni sana
 
Pole sana mwanamke mwenzetu. Hayo ni majaribu katika maisha. Tumia muda mwingi kukubaliana na hali ilivyo. Kuna watu na VVU wanakaa miaka zaidi ya 20. Fuata washauri Nasaha hakia huo sio mwisho wa maisha bali ni mwanzo.

Mungu azidi kukutia nguvu katika kipindi hiki kigumu.
 
Sometimes l ask myself,why do good people get harsh punishment?Why?sometimes l ask my self the opposite,why do bad people always have to get away with every stupid thing they do?the answer is very easy,God loves good people.And bad people have a bad ending!Your guy was so selfish and very bad.Sijui vitu vingi lakin nacho jua ukimwi hauna dawa wala tiba.Unaweza kuishi hivyohivyo na kama ni suala mapenzi unaweza kumpata mpenzi mwenye hali kama yako.Na mkaishi tu mda mreeefu.Me nachukia kutizma movie ambazo mtu anafanya ubaya alafu hapati adhabu yoyote.pole sana
 
pole sana mwanmke mwenzangu !mie nakuomBa ona ukimwi ni km magonjwa mengine tu ni kama pumu tu ambayo utaishi nayo milele! nimeishi na ndugu yangu hiv positive alijikubali kwanza mwenyewe !then akafuata mashart ya Dk sasa hv ukiambia anaumwa hutaamini amekuwa na afya nzuri sana sna ! na ww jikubali kwanza mamy !mkabidhi Mungu janga lako !

napia usijione huna thaman tena ya kupenda hapana wapo weeeeeeeeengi mno wenye status kama yako na wanaishi na wenza wenye status moja !naamini ww utapata mwenza atakutoa upweke ulonao ! nakuomba jitahd kutoka out na mwanao nenda beach nenda kanisani imba kwaya nk nk utaona Mungu atakavyokuondolea hizo stress !

wewe ni.................... MZURI NA WATAHAMANI SANA SANA.............
 
Pole sana dear, punguza mawazo. Fuata ushauri wa madaktari, omba Mungu kwa imani, hakika Mungu atakutimizia hitaji LA moyo wako
 
Najua ushapewa sana moyo Kabla ya kuandika humu jf, lakini ushauri wangu usikubali kuacha kumeza Dawa hizo ndo uponyaji wako. Inaonesha unaichukia sana hiyo Hali Usijali Mungu ndo jibu Yeye ni Baba wa Wagonjwa Yeye ndo daktari bingwa kiboko ya UKIMWI mkabidhi ugonjwa wako hakika utapona. Amina.
 
Pole sana ndugu yetu. Jipe moyo mkuu.
 
Pole sana mdada, ninachoamini kuwa na virus vya ukimwi sio mwisho wa maisha, nenda kwa washauri nasaha watakushauri namna nzuri ya kuishi na virusi vya ukimwi, ila ushauri wangu kwanza punguza mawazo ili usijikondeshe lkn pia urudi enzi zako mwenzangu jipambe ujipodoe mamangu, umaridadi unaficha kila kitu
 
Japo inahuzunisha nimecheka sana haya maneno "anang'aa kama mkristmas tree"

Sijui uliwaza mini
 
Back
Top Bottom