Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,432
- 105,851
[/b]Kipi kikuchekeshachoo..!![/I]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hao unaongelea vipofu ambao wanaongozwa na hisia katika kila jambo...mi ambaye nishazoea kuona wapenzi wangu wote naona ni ngumu kuwa na mapenzi ya dizaini hiiMapenzi hisia mama,kuna vipofu wanawivu balaa na hawajawahi kuwaona wenzi wao
kwa zamani kabla FB Insta na whatsapp iliwezekanaHayo mapenzi kwenye simu mlikumbuka kinga lakini?
Hivi unampendaje mtu katika simu tu?mi nashindwa kuelewa kwa kweli mtu anakuwaje na 'mapenzi mazito' na mtu ambaye hajawahi muona...unakuwa umependa nini haswa?
Mkuu ndio umejua hili leoAiseee mnafanya mapenzi kwenye simu...hii kali
Duh!hata hivyo inaonekana ni mazuri kiasi chakekwa zamani kabla FB Insta na whatsapp iliwezekana
ole wako demu ukosee kupiga simu ikatua kwa men ikawa wrong number utafukuziwa mpaka
basi mapenzi uanzia hapo
lkn pia nakumbuka facebook wakat inaanza ukipata demu inakuwaga mapenzi ya kweli kabisa mnadumu na wakweri sio hawa wa sasa nitumie nauri
nakumbuka mwaka 2009 nilipata demu facebook ambaye tulikuwa wapenzi mpk mwaka 2011 alivyoenda ughaibuni kusoma penzi likafa kwa 7bu zilizo nje ya uwezo wetu
mapenzi ya simu kumbukunbu inarudi mwaka 2006 mpk 2007 demu tulionana mara moja tu alikuja likizo Dar kwa shangazi yake siku kaja dukani tukakutana na kesho yake ndo anaondoka chakufanya nikampa namba ya simu yangu nikamwambia anitafute yeye hakuwa na simu baada kuondoka kwao DODOMA akaenda zake sec Songea girls ndo akanitafuta ilikuwa mwendo wa simu kwa mwaka na nusu mpk tulivyoachana kwenye simu
inafurahisha sana mnagombana kwenye simu mnapatana kwenye simu
SEX kwenye simu ni Usiku na tigo tigo bure ile ukipiga baada dakika 5 kuendelea ni bure ila usikate tu simu basi hapo sex via simu huchukua nafasi
Ndio wapenzi wenu hao, nyinyi watu wa Mikoani....!!MM KUNA LIMOJA NILILINASA KWENYE FFB LINA KAA CONGO BUKAVU LINANISUMBUA KWELI ETI NIENDE KWAO ILA NILIZURI SANA..
NAOGOPA RISASI
illikuwa zamani kwa sasa umri huu ni mateso tu na haiwezekeni kwa mm tena ila zamani ilikuwa poa tu mtu kukaa hata miezi 6 bira kudo ilikuwa shega tofauti na sasa siku tatu kupita tu mtihaniDuh!hata hivyo inaonekana ni mazuri kiasi chake
Sex katika simu ni kutesana pia hakyanani!
Ndio wapenzi wenu hao, nyinyi watu wa Mikoani....!!
Mapovu ruhusa...
HahahahahahaNdio maana network zinasumbua, kumbe mnafanyia huko kwa simu!
Itabidi tuanzishe huduma ya kutuma manii, unamtumia mpenzi then anajiwekea huku unampa mzuka kwa simu, mtoto akizaliwa sijui utamuita "kwasimu" au "kasimu"
Wengine mpaka wanamwagaDuh!hata hivyo inaonekana ni mazuri kiasi chake
Sex katika simu ni kutesana pia hakyanani!
Asee ndo najua leo asa sijui yanafanyajweMkuu ndio umejua hili leo
hadi mimba alilea kwenye simuAiseee mnafanya mapenzi kwenye simu...hii kali
Boban na freaking tedy simuni!How romantic!Aiseee mnafanya mapenzi kwenye simu...hii kali
yapo nishawakojoza sana kama wawiliAsee ndo najua leo asa sijui yanafanyajwe
Hujawahi kujaribu hii?Duh!hata hivyo inaonekana ni mazuri kiasi chake
Sex katika simu ni kutesana pia hakyanani!