Sio kawa mkuu, ni kipepeo cha kupingisha hewa.Wacha wee..hapo sasa unakuta hilo kawa limefunika chakula kitaamu...dah lazima utabasamu...
Hapo unapepewa halaf unaimbiwa tarabu heheeh pwani raha jamaniSio kawa mkuu, ni kipepeo cha kupingisha hewa.
Kule Tanga kuna watu wa bara wengi sana wame-adoupt culture za watu wa kule huwezi hata kuwatofautisha aisee......... Nimekutana na mabinti wa Kinyamwezi, Kingoni, Kirundi na Wahyao na ukiwaona ..... Utadhani wenyeji haswa kuanzia kuvaa mpaka lafudhi..............Kweli kabisa, feni halifukiziki kwa udi, lakini hapo udi kama kawa, sharti ukipepewa wasikia raha tu.
"Mpenzi nipepee, nna usingizi nataka kulala".
Mijitu ya bara itayajuwaje hayo, wengine hata nguo ni miaka 20 nyuma wacha hiyo.
hehehe baba keshapepewa tanga, hela ya aiskrimu hiyoooo inaelekea makororaBaba...
baba...
hehehe baba keshapepewa tanga, hela ya aiskrimu hiyoooo inaelekea makorora