Mapenzi ya kweli bado yapo.

Mapenzi ya kweli bado yapo.

What is being simple? In layman's language....!!! Ili na wengine wajifunze kuwa "simple" pia... Mr Miller!!
sijui hata nimueleze vipi, ila
first time nilimuona na kupga nae story....she was real, she was simple!

Msweet umenipa swali gumu yani!

au sijui ndo kupenda, maana jinsi nilivyomuona na nilivyokuwa namfikiria ni tofauti sana...tulipoanza kupiga story ndio nikajikuta nampenda zaidi,

nikajifunza kitu kwa muda mfupi....sio wale ukimuona na story zake ukiongea nae unajua huyu pasua kichwa!
 
a5a7751514306fe72001aec030fb0331.jpg
 
Mapenzi ya kweli yapo ila kazi sana kumpata wa kukupenda kwa dhat
wapo sana, tatizo vijana bado wanaMentality za kuumizwa na uoga, unakuta mtu mguu mmoja nje mwingine ndani.

Mimi hata niumizwe vipi kwenye mapenzi, nikipata fursa ya kupenda tena napenda kwa moyo woote...

kuna kale ka msemo...
"What if you fall...but my dear What of you fly"

sometimes tunapishana na soulsmate wetu kwasababu za uoga uoga,
 
Hata hapa JF yupo mkaka mwaminifu pia anaitwa GuDume,wadada changamkieni fursa!
 
Hamna mtongozani mzuri km yule anayejua kumchanganya mwanamke yani wewe sema ht unauza maji lkn appearance yako iwe tofauti nakua serious basiiii hapo mwanamke asubuh mchana jion atakuwa anajiuliza huyu muuza maji kweli?mbona km sio ?sasa ukiweza kumfanya mtu akufikirie basi ni rhs kumfanya akupende# wanawake wanaopenda wapo wengi tu sema shida ya baadhi ya dada zetu ni kuishi kwa kuamini sana mambo ya bahati...atakupenda wewe na kazi yako ya salon akiona mhasibu basi akili inaruka anahama akija kusikia mwanaume mwingine ni boss shm fln inaruka inahama...yani wapo kuchagua mwanaume bora zaidi kati ya wale wanaomfuata kila siku...hilo tu
 
wanawake wachache sana wanaopenda hela .shida kubwa ya wanaume hawajiamini,ni waongooo.wanabaki kuvuna walichopanda. kuwa real inalipa sana.wao mashauzi yamewajaa inshort hawana hekima wala busara karika kutafuta wenza wao
Itabidi niwe mkwel kwanzia leo alafu nione kama katika 100 sita otea 1...
 
Back
Top Bottom