Mapenzi sio pesa havina mahusiano
Lakini pesa ni tools ya kuweza ku- survive katika maisha so mapenzi yanaingia kwenye huo uhitaji wa pesa pia kwa sababu Kuna mahitaji ya msingi katika maisha yanayo paswa kufanyika na mnao date ni binaadamu so mnalazimika kuhitaji pesa ili muweze ku-survive ,
But mapenzi sio pesa , that's watu wanasema kama mapenzi ni pesa it means Kila mwenye pesa Kuna mwenye pesa zaidi yake so if mpenzi wako kichwani mwake ana hiyo tafsiri kuwa mapenzi ni pesa siku ikitokea akakutana na mwenye pesa zaidi Yako basi andika umeumia
Pia ingekuwa mapenzi ni pesa Jeff bezos Bill gates wasinge achwa na wake zao
In my life experience mpenzi Huwa hatafutwi Huwa ana kuja mwenyewe analetwa na nature na kufit katika mfumo wako shida ni kwamba watu wengi hawana uelewa wa kulitambua Hilo una weza kumpata mpenzi /Mtu sahihi lakini kwakuwa Hauna Hekima ya utambuzi unashindwa kutambua kwamba huyo ndiye mtu sahihi kwako na ukampoteza Mwisho wa siku unakutana na manyau Yanaanza kukupiga matukio then unaanza kulia Lia , Na pia upendo wa kweli Huwa haukuhitaji utumie nguvu kubwa ili upendo huo uweze ku- exist, Ukiona upo kwenye mahusiano na unaotumia nguvu kubwa ili mahusiano hayo yaweze ku- exist basi ujue bado hujapata mpenzi hapo