sure,MAPENZI NOMA Sana,siku hizi mahisiano bila unafiki hayadumu kabisa utaona unakumbatiwa unahisi kama unapendwa kumbe unanuswaView attachment 2884578
Kweli kabisa, unaona mtu anakukumbatia mkilala unajua mahaba yamenoga kumbe mwenzako anakuchunga usiamke ukampiga search😔Mapenzi noma sana, siku hizi mahisiano bila unafiki hayadumu kabisa utaona unakumbatiwa unahisi kama unapendwa kumbe unanuswa.
View attachment 2884578
😂 kwanin afanye hivyo kama anakuamini?Kweli kabisa, unaona mtu anakukumbatia mkilala unajua mahaba yamenoga kumbe mwenzako anakuchunga usiamke ukampiga search😔
Daah hizi kauli zako mkuu, Kwa Ndraaani ni tatraaari sanaa🤣🤣🤣sure,
Harufu nyingine ni kwa nje tu lakini kichefuchefu aise 🐒
just imagine kwa ndraaaaaani itakuaje🐒
ndroo ivo tena dahDaah hizi kauli zako mkuu, Kwa Ndraaani ni tatraaari sanaa🤣🤣🤣
Hatari sana