Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni kumhonga mdada mzuri madini ya nchi nzima
 
Wadau hivi tafsiri sahihi ya mapenzi haswa ni nini?

Wanasema mapenzi yanarun dunia ni kweli?
Kwa nini ukimpenda mtu unamtamani muda wote?

Hivi kwa nini mwingine anaua au kuuwawa kisa mapenzi?

Kwa nini wengine wanaona wengine wanaachana?
Hivi kwa nini baadhi hujinyonga eti kisa mapenzi!?

Mapenzi yanaishi au hupatikana wapi?moyoni,machoni,akilini au mwilini?

Kwa nini wapo husema mapenzi pesa wengine husema mapenzi akili?

Hivi haya ni kitu gani?
Mapenzi ya DHATI ni yapi?

Jamani kwa nini wengine wanapendwa wasipopendwa?huku wengine wanapendana wote?

Hivi unaweza kumdhuru au kumsaliti unayempenda kwa dhati?

Unaweza penda mume au mke wa mtu?
Unawezaje penda mtu usiemfahamu?

Aiseee!mapenzi jamani!

Mapenzi ni kupendana ,kusaidiana,kuaminiana sasa wengine wanapingaga hapa kusaidiana wanasema wanachunwa ila ni wao wanaume ila kama nimwanamke ndio anamsaidia mwanaume hapo haacomplain.
Kwa hiyo hayo mambo matatu yanazaa mapenzii kama mpenzi wako hakufanyii haya matatu basi huyo hakupendii mnachezeana na ukisema mapenzi ni baina ya hao wawili sio baina ya mmoja kuchukua jukumu la wawili hao.
Nadhani umepata jibu
 
Back
Top Bottom