ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,265
- 4,452
Mapenzi ni kiherere cha macho kinachosababisha moyo uongeze bidii kwenye kusukuma damu na kuipeleka kusikotakiwa.Matokeo yake kunakuwa na upungufu wa damu kichwani hali ambayo inasababisha hayo yote uliyotaja kutokea.Penzi ladhati ni lile ambalo haliongozwi ni kiherehere cha macho na ukilipata usiliache

