Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Ukiwa na pesa unakuwa HB balaa sijui kwanini tu!!
Ulifichwa wapi?
Mbona hajitokezi jamani!!!Shemeji...unaulizwa uko wapi?
Sasa takula sura?Kwani huyo anahitaji hata kuwa na pesa?
Teh teh teeeeh!!!Kalala kesho anawahi kazini mapema kabisaa
Huu umbea haujanoga bado, kumbe ni wa humu humu!!Hahahaaaaaaahaaa!umbea tuuuuu!mxiuuuuuuuuuu!si ndo ulivyotaka sasa!unacheka nini?
Mungu hapendi kunyima wenzio.Utajua mwenyewe!!hahahaaaaahaaa!!
Usinikope umbea miyeee!!nkajitumbua mwenyewee
Acha kumjaza maneno.Hata umbea hapendi pia!
Yeye ndio alinikana, eti tuanze kuosha vyombo. Kwanza udada alinilazimisha tu.
Yeye ndio alinikana, eti tuanze kuosha vyombo. Kwanza udada alinilazimisha tu.
Siku hizi anafichwa huyo!!Hahaha!, ngoja afike...lol
Mwenzangu!, anaonekana once in a blue moon. Labda ndo maana ya hawty!Siku hizi anafichwa huyo!!

Mapenzi huanza mara tu wapendanao wanapoacha kutakana kingono. Full stopMapenzi is overrated.
Btw Mapenzi ni hisia.... Na unajua kitu kikihusisha hisia