Mapenzi ni nini jamani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hatutajutia hata akitukula na kutuacha jamani mana myueseiei sidhani kama anarudia mara ya pili kukukula

Nikikurudia jihesabu una bahati ya mtende teh teh.

Anywho, I’m outta here.

Acha waendelee kufurahisha nafsi.
 

[emoji115]Unakuwa unamtamani ili umfanyie nini?[emoji53][emoji53]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hatutajutia hata akitukula na kutuacha jamani mana myueseiei sidhani kama anarudia mara ya pili kukukula
Anarudia, mbona kwa mzigua karudia mara tatu. Nami nitataka tena.
 
Niliogopa kuomba maana naweza shangaa nimetumiwa yangu nikaangusha katecno kangu nikaingia hasara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi sijuti ila kila siku nashangaa tabia za watu. Kuna tabia bila kuwa humu nisingejua zipo. Na nilivyo tomaso sasa. Ningeambiwa na mtu ningebisha. Ila najionea nabaki hivi huyu ana akili kichwani au kajaza makabichi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kajaza makabichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…