Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,735
Nasikia uchungu sana. Hadi nimetoa chizi kumiss ubuyuHunishindi Mimi loh!
Nasikia uchungu sana. Hadi nimetoa chizi kumiss ubuyuHunishindi Mimi loh!
Shemeji nakusalimia tu ndugu yangu anakumiss tu kila siku anakutajaNi hisia tu, even love itself...it's feelings. And you know what's up with feelings, they're just like life. Hisia zinazaliwa, lakini at the end hisia zinakufa, you'd be so lucky to maintain your feelings to the same person for the rest of your life.
Yaani watu tuko kwenye masikitiko wewe unacheka!!!
MtajeHata mi sijui naona tu moyo ulivyojaa sura ya mkaka fulani
Hahaa sijakulwa na myueseii jamani nimechekaHahahaaa loih!kwani kina nani kawala?nyie watanga mkujee
Naona umerudi mkuu, karibu tenaMapenzi is overrated.
Btw Mapenzi ni hisia.... Na unajua kitu kikihusisha hisia
Kawala wengi tukianza kufukua makaburi hapatatosha.Hahahaaa loih!kwani kina nani kawala?nyie watanga mkujee




Kwakweli kukosa ubuyu kunaumaaa.Nasikia uchungu sana. Hadi nimetoa chizi kumiss ubuyu
Hahhahah mnanifurahisha sana mlivyokosa ubuyu yaan mnatamani mngekosa chakulaYaani watu tuko kwenye masikitiko wewe unacheka!!!
Tumtengeni hafai huyuYaani watu tuko kwenye masikitiko wewe unacheka!!!
Ebu sema kweliKawala wengi tukianza kufukua makaburi hapatatosha.![]()
Sasa mkinitenga nani jamani atanichukua mmTumtengeni hafai huyu