Yaani kumbe nawe hukuuona!! Nikajua huko mbele ulicomment niliona nokia kakutaja. Sema sijaingia humu muda nikashindwa hata kuelewa nini kinachoendelea.Huyu Shunie mchoyo sana uzi wa ubuyu na mie nikatajwa hata kuniita kashindwa naishia kuambiwa tu na wengine matatizo yangu![]()
Sikuuona nilikua nabebishana na mchumba. Ngoja nimuulize Nokia nilikua nahusika nini na huo uzi mpaka kunitaja. Sema watu wanajimudu humu kutunga storyYaani kumbe nawe hukuuona!! Nikajua huko mbele ulicomment niliona nokia kakutaja. Sema sijaingia humu muda nikashindwa hata kuelewa nini kinachoendelea.








Hapana, ulianzishwa na mwanaume, ten amember mkongwe wa jf akiwataka waache utoto na warudi jandoni. Waache jambo dogo wanalifungulia uzi wakati enzi zao wlihonga hadi vitz n ahawakutangaza. Wao wakiombwa voch atu wanatangaza na kutumiana picha za utupu walizowapiga wanawake. Kalikuwa kauzi katamuu sijui kwanini kalifutwa.Hahahaa!alianzisha mdada?
Eti kuna kijana myuesiei alimkula binti wa kitanga akatangaza kuwa alimla kwa shida maana ananuka mdomo. Hebu nipe ubuyu basiSikuuona nilikua nabebishana na mchumba. Ngoja nimuulize Nokia nilikua nahusika nini na huo uzi mpaka kunitaja. Sema watu wanajimudu humu kutunga story![]()
Hahahaaaa!wauresume jamani loooh!!Hapana, ulianzishwa na mwanaume, ten amember mkongwe wa jf akiwataka waache utoto na warudi jandoni. Waache jambo dogo wanalifungulia uzi wakati enzi zao wlihonga hadi vitz n ahawakutangaza. Wao wakiombwa voch atu wanatangaza na kutumiana picha za utupu walizowapiga wanawake. Kalikuwa kauzi katamuu sijui kwanini kalifutwa.
Iceman 3D na sumbai walikuwepo labda waje watwambie kwann ulifutwa.
Itakua kuliKua na picha ndo wakaufuta. Nimesikitika kweli kuukosa huo ubuyu jamaniHapana, ulianzishwa na mwanaume, ten amember mkongwe wa jf akiwataka waache utoto na warudi jandoni. Waache jambo dogo wanalifungulia uzi wakati enzi zao wlihonga hadi vitz n ahawakutangaza. Wao wakiombwa voch atu wanatangaza na kutumiana picha za utupu walizowapiga wanawake. Kalikuwa kauzi katamuu sijui kwanini kalifutwa.
Iceman 3D na sumbai walikuwepo labda waje watwambie kwann ulifutwa.
Ubuyu ukikupita inauma acha tu, ndio yaleee tulokuwa tunasema.Yaani dah!tumekosa uhondo haki tena
Kwakweli tumekosa uhondo hivi hivi.Hahahaaaa!wauresume jamani loooh!!
Eti kun kujana myuesiei alimkula binti wa kitanga akatangaza kuwa alimla kwa shida maana ananuka mdomo. Hebu nipe ubuyu basi






shoga angu mie mwenyewe mgeni hapo kwa huyo kijana. Labda tuwaulize waloliwa na myuesiei kama kuna mwenzao mtanga. 




. Sema myuesiei hatari anatafuna sana na yeyeSijui hata huko mbele kulikuwa na nini.Itakua kuliKua na picha ndo wakaufuta. Nimesikitika kweli kuukosa huo ubuyu jamani
Yaani kumbe nawe hukuuona!! Nikajua huko mbele ulicomment niliona nokia kakutaja. Sema sijaingia humu muda nikashindwa hata kuelewa nini kinachoendelea.
Sikuuona nilikua nabebishana na mchumba. Ngoja nimuulize Nokia nilikua nahusika nini na huo uzi mpaka kunitaja. Sema watu wanajimudu humu kutunga story![]()








Huyu Shunie mchoyo sana uzi wa ubuyu na mie nikatajwa hata kuniita kashindwa naishia kuambiwa tu na wengine matatizo yangu![]()
Kiukweli na mimi nimeumia japo naambiwa nilitajwa kwenye comment. Nilitaka nione zaidi wanavyonijua basi tena mods wakanibaniaUbuyu ukikupita inauma acha tu, ndio yaleee tulokuwa tunasema.
Eti kuna kijana myuesiei alimkula binti wa kitanga akatangaza kuwa alimla kwa shida maana ananuka mdomo. Hebu nipe ubuyu basi
Ubuyu ukikupita inauma acha tu, ndio yaleee tulokuwa tunasema.
Hahaaahaa!loohh!hapa mate yanamwaikaaa
Kwakweli tumekosa uhondo hivi hivi.
shoga angu mie mwenyewe mgeni hapo kwa huyo kijana. Labda tuwaulize waloliwa na myuesiei kama kuna mwenzao mtanga.
. Sema myuesiei hatari anatafuna sana na yeye








Itakau kulitokea vita maana nasikia ulikua unakimbia kama speed ya mwangaSijui hata huko mbele kulikuwa na nini.
Hahahaaaa!!! Yaani nawe ubuyu ulikupita!! Nafut ushoga na wewe, shoga gani hatufaani nyakati za shida!!!shoga angu mie mwenyewe mgeni hapo kwa huyo kijana. Labda tuwaulize waloliwa na myuesiei kama kuna mwenzao mtanga.
. Sema myuesiei hatari anatafuna sana na yeye