WoyoooooooooR. Ananidatisha
Inabidi ndugu zangu wa Tanga tutafutane tuongee kwa mapana hili jambo. Myuesiei kasema hakumbuki kupita na mtanga ila anaendelea kukumbuka list yake ataniambia ni naniHahaa sijakulwa na myueseii jamani nimecheka

Nina mashaka!!Hahaa sijakulwa na myueseii jamani nimecheka
Inabidi ndugu zangu wa Tanga tutafutane tuongee kwa mapana hili jambo. Myuesiei kasema hakumbuki kupita na mtanga ila anaendelea kukumbuka list yake ataniambia ni nani![]()








nimemsikia auntie espy anasema ulitajwa hukoHuu nao ubuyu unaonipita hivi hivi, mungu anawaona.Woyooooooooo
Kwakweli kukosa ubuyu kunaumaaa.

Auntie naanzaje mm kukulwa na myuesiei jamani hata kumuona sijawahi sasa atanikulaje shunie mmNina mashaka!!
Chakula tungekula tu hata baadaeHahhahah mnanifurahisha sana mlivyokosa ubuyu yaan mnatamani mngekosa chakula
Hautoki hadi mseme ni nani.mnitoe hapo kwa list mm jamani
HahahhahahaChakula tungekula tu hata baadae