Mapenzi ni fadhila?

Mapenzi ni fadhila?

Mapenzi yanatoka moyoni, Na masilahi hutoka mkononi. Hivyo fadhila ni shukrani za Roho (appreciations) yaani heart to heart talks....!!
 
bro.......ina maana umesahau jins humu jamvini tu watu wanavyoliaga liaga kwamba wamesomeshwa wanzao wakijua watakuja kuoana??

Sis, hawa wanaolia sidhani kama wanazijua vizuri kanuni za mahusiano...kutoa fadhila haina maana unataka upate kitu in return.
 
Back
Top Bottom