gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
- Thread starter
- #21
tupo pamoja brodah!!mapenzi si fadhila, ila japo kuna watu wakike kwa wakiume wanafanya kuwa ni fadhila, sasa ukiyafanya nifadhila hadi kufikia kuoana mwishowe unakuwa sio mzuri naamini hivyo.....
But unamwonaje yul;e mtu anayetaka hadi kutenda unyama juu ya mtu kisa tu hajalipwa fadhila ya penzi alokuwa analitaka??