Mapenzi na kukopeshana!

Mapenzi na kukopeshana!

Mamndenyi
images


toooo
 
Last edited by a moderator:
Nachukia sana wanawake wanao geuza kei kama mtaji
 
saudari
si unajua kupendwa ilivyo na raha zake,
tena ule uzi wameshautupa kule chini,
natamani Mr Rocky angeziona comments zangu.

Hahahaaaaaa Mamndeny!!!! Leo ndo umejua nini maana ya kupenda.
Kumbe zile thread za kumwambia mpenzi wako kwamba unampenda ndo unazitekeleza leo.
Aya bhana, na miye nangojea.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana JF!!

Swali langu ni kwamba,hivi mtu na mpenzi wake wanaweza kukopeshana hela??

Kwa sisi tunaoishi mjini, siku hizi hakuna mapenzi. Kwa hiyo inawezekana kabisa kukopeshana. Lakini sio vihela kama laki mbili au laki tano. Vijisenti vidogovidogo vinarutubisha mahusiano. Kwa hiyo usisite kumpa mwenza wako vilaki viwili au vitatu kila wiki.
 
Kwa sisi tunaoishi mjini, siku hizi hakuna mapenzi. Kwa hiyo inawezekana kabisa kukopeshana. Lakini sio vihela kama laki mbili au laki tano. Vijisenti vidogovidogo vinarutubisha mahusiano. Kwa hiyo usisite kumpa mwenza wako vilaki viwili au vitatu kila wiki.

Si wa vijijini hili halituhusu
 
mimi kwa kweli ntaona aibu kudai.....
na kwanza kwa nini nikope/nimkopeshe mpenzi?
si nampa tu?
 
Kwa sisi tunaoishi mjini, siku hizi hakuna mapenzi. Kwa hiyo inawezekana kabisa kukopeshana. Lakini sio vihela kama laki mbili au laki tano. Vijisenti vidogovidogo vinarutubisha mahusiano. Kwa hiyo usisite kumpa mwenza wako vilaki viwili au vitatu kila wiki.
Haya Nimekupata!
 
Kwa sisi tunaoishi mjini, siku hizi hakuna mapenzi. Kwa hiyo inawezekana kabisa kukopeshana. Lakini sio vihela kama laki mbili au laki tano. Vijisenti vidogovidogo vinarutubisha mahusiano. Kwa hiyo usisite kumpa mwenza wako vilaki viwili au vitatu kila wiki.

Mwanamalundi hivi Chenge ndugu yako? Hivyo vilaki viwili vitatu kila wiki kwa wengine si ni zaidi mahari hiyo jamani? Statement yako iko very very relative, of course ujumbe uliomaanisha nadhani ni kwamba kusaidiana pale ambapo mtu anaweza kwa wapenzi ni nzuri kwa afya ya mahusiano.
 
Hakuna kukopeshana wakati mnashea mapenzi,ni ngumu sana kumdai mwenza wako baada ya kuwa umempa pesa na wapenzi wengi huamua kutoa tu kama zawadi.
Ila kama ukichoka kuwa nae si vibaya kudai chako.


Hapo kwenye red - kama aki ingia mitini??????
 
akisema anakukopa mpe ila moyoni ujue umempa na wala usimdai mana mu mwili mmoja ati!
 
Kama ni mke na mume mwaweza kukopeshana.Kama ni mahusiano tu, amua na roho yako kwa kile alichoomba waweza kumsaidia kiasi gani na si kumkopesha.Hivi siku unakuja kuniambia baby naomba ile hela niliyokukopesha nitakuangaliaje.Me tu kama unampenda kweli.
 
Mademu wengine nuks kweli!utakuta umelalanae leo,hela umempa,kesho anakufata: "dear nikopeshe elfu 20000/-nitakupa kesho"ukimpa ndo jumla!SH.W.AI.N kabisa.
 
Mtoa mada kama nakufahamu hivi. Ila ngoja na mimi nichangie kidogo.
Kukopeshana kuna tofauti kubwa kati ya kupewa au kuomba.
Mara nyingi kuomba ni katika ile hali ya kupeana support kama kulipa school fees, matibabu, rent nk.
Kupewa ni katika ile hali ambayo mpenzi amejisikia kuwa ana balance ya kutosha kwa hiyo ngoja nimpe mwenzangu naye ajinunulie maitaji muhimu kama nguo, vipodozi nk
Kukopeshana hii ipo sana katika swala zima la ujasiria mali. Hii ni njia moja wapo ya kuakikisha mpenzi wako anakuwa mfuatiliaji mzuri wa biashara zake na mara nyingi mikopo ya namna hii siyo midogo. Wakati mwingine unakuwa zaidi ya one m. Na mara nyingi wapenzi wenye kukopeshana wote huwa ni wajasiriamali
 
Back
Top Bottom