Mapenzi matamu lakini shubiri pia

Mapenzi matamu lakini shubiri pia

mgonja.p

New Member
Joined
May 3, 2012
Posts
3
Reaction score
3
nimeolewa na nina mtoto mmoja ila mume wangu ana wivu sana, mara nyingi tukiangalia movies au tukitoka out akiona mwanamke mrembo hupenda kumsifia na wakati mwingine kumsifia lakini mm huwa nanyamaza kimya na roho huwa inaniuma sana, lakini mm nikimsifia mwanamme akiwa amependeza hununa siku nzima na kusema huo ni umalaya, hebu nisaidieni huyu ni mwanaume wa aina gani,
 
Sasa kama unajua tatizo la Mume wako ni Wivu kwanini usifie wanaume wengine.. (hayo ndio mapenzi compromise vumilia vinavyovumilika, am sure na yeye yapo maybe anayovumilia).

Kama wivu unazidi hadi anakufuga hio ndio mbaya lakini issue kama ni kununa peke yake solution yake ndogo sana (usisifie wanaume wengine) na kama yeye akisifia inakukera mwambie aache kwamba una wivu (am sure atakuelewa)
 
Sasa kama unajua tatizo la Mume wako ni Wivu kwanini usifie wanaume wengine.. (hayo ndio mapenzi compromise vumilia vinavyovumilika, am sure na yeye yapo maybe anayovumilia).

Kama wivu unazidi hadi anakufuga hio ndio mbaya lakini issue kama ni kununa peke yake solution yake ndogo sana (usisifie wanaume wengine) na kama yeye akisifia inakukera mwambie aache kwamba una wivu (am sure atakuelewa)

Simple!!! just keep quiet when found yourself in such an unpleasant situation!! Unajua kumsifia mwanamume/mwanamke tafsiri yake kwa walio wengi ni kuwa umemtamani, and if opportunity offers itself you are likely to be in love with her/him!!!
 
Jukwaa la picha hili weka picha yako tukuone basi ili tutoe maoni yetu
 
Back
Top Bottom