Mapenzi Matamu Jamani, Mungu Tuongoze

Mapenzi Matamu Jamani, Mungu Tuongoze

acha charting bimkubwa mume yuko pemben we unajf sika? onyesha kweli unaumwa basi

eh haya bimdogo naona unanifunguza,mme nae ananikata jicho mpaka naogopa!...haya niwatakie usiku mwema,kesho panapo majaliwa.
 
acha charting bimkubwa mume yuko pemben we unajf sika? onyesha kweli unaumwa basi

eh haya bimdogo naona unanifukuza,mme nae ananikata jicho mpaka naogopa!...haya niwatakie usiku mwema,kesho panapo majaliwa.
 
Hilo inavyoonyeshaa ni penzi jipya soon tu atakuchoka ,hayo mahaba nibebe utajibeba mwenyewe

hahahhahahahaha, nlitaka kusema the same mamie. Wengine tulibebwa, tulilishwa, tunaletewa msosi, unafatwa chuo hadi room wapelekwa, haondoki hadi ule dinner, asubuhi waamshwa. Ila sasa text ya kwanza yaweza kufika saa9 jioni na maisha yanaenda. Nina zaid ya mwaka au miaka miwili sijabebwa.
Yanamwisho hayo
 

..navyoandika huu uzi,nasumbuliwa na maumivu ya tumbo kidogo hadi nimeshindwa kula,ila nipo na hubby hapa,katoka kuniogesha kanifuta maji,kanivalisha pichu na night dress,kanifunika shuka nilale!! amekaa pembeni kuna kitabu anasoma sijui ni nini ila ndo namuangalia tu hata simalizi,nawaza mengi juu yake!.nampenda sana!!.
.

ninamfahamu huyo jamaa....wewe ni wa tano kwenye orodha yake mnaofanyiwa hivyo.
 
Horyaaaa.

Twende tukajichekee kwenye thread yangu mpya.

BTW, bado nakumbukaga ile post yako "Amka na BBC"

Hilarious!

hahahaha!! haya naja fasta,with this weather condition how sweet is amka na BBC??
 
Mmhhhhhh....ooooops...ndo mana cpokelew cm wala kjibiwa msg mchepuko mm...loooh imekula kwangu...

Mahaba niwashe km pili pili...
 
worry out mdada ili ufanikiwe unaitaji marafiki iliufanikiwe zaidi unahitaji maadui. but stay real kweny mapenzi ykoo and ALLAH will bless u.......
 
hahahhahahahaha, nlitaka kusema the same mamie. Wengine tulibebwa, tulilishwa, tunaletewa msosi, unafatwa chuo hadi room wapelekwa, haondoki hadi ule dinner, asubuhi waamshwa. Ila sasa text ya kwanza yaweza kufika saa9 jioni na maisha yanaenda. Nina zaid ya mwaka au miaka miwili sijabebwa.
Yanamwisho hayo

jiulize nini kilicho fanya yote hayo yaka towekaaa..
 
Umesha sema bongo movie always huwa wanaigiza mapenzi kama movie zao
Acha movie iendeleee
 
Hongera....naona umeanza kutumegea sehemu ya utamu wa filamu yako mpya!hv inaitwaje vile....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom