Mke mwenZa all the best,mwanzo huo uwe hadi mwisho, Watu wanaishi kwa kukariri.haimaanishi wote n vimeo kuna wazuri pia jaman.
Pole kipenzi, ugua pole....Luv ya!
sio kama nampenda kwasababu ni star,hapana!!..nampenda kwavile ananipenda,kazi yake mimi naichukulia kama kazi nyingine,ila tu ndo anajulikana sana..ikija kwenye mahusiano yetu kazi yake pembeni,nampenda alivyo.na anajua hilo
movie gani jaman?!..
wewe hupendi lakini kina Shigongo na timu yake wanavyojua kunusa watakuacha kwel? Hizo ndo kazi zao,kila la kheri katika mapenzi yenu mfike mbali hadi kwenye ndoa,nasubiri kadi., ndio mim haswa naendelea vizur namshukuru Mungu.sitangazwi,nshakataaga hata maswala ya magazeti!!..na nashukuru ananielewa!
sorry,hivi ni wewe juzi kati ulifanyia upasuaji sijui?!.kama sio wewe basi nimefananisha id
asante mke mwenza!!...mme anakusalimia sana! eti amekumic namwambia nanuna anacheka!..
wewe hupendi lakini kina Shigongo na timu yake wanavyojua kunusa watakuacha kwel? Hizo ndo kazi zao,kila la kheri katika mapenzi yenu mfike mbali hadi kwenye ndoa,nasubiri kadi., ndio mim haswa naendelea vizur namshukuru Mungu.
eeh haya bhana!