Mapenzi kutaka kuniua!

Mapenzi kutaka kuniua!

Ni kweli. Ilipaswa iwe "someni mkioana mapenzi yapo tu" watu wasubiri ndoa.

GuDume ukikuwa ukapata watoto usiwaambie "Someni mfike chuo Mapenzi yapo tu!".. Vyuoni tunajipa justification ya mambo tulokatazwa utotoni sana!.
 
Na unajikuta una amani sana. Huna stress za kipuuzi. Eti unawaza demu kaku cheat.. La msingi muwe mnatumia kinga au mwambie akichepuka atumie kinga... Ile kitu ikioshwa wala haina shida..

mi mapenzi nimeanza kitambo sana nimeijua **** nikiwa niko darasa la kwanza ndo ulikuwa mchezo wangu nimeijua vizuri kabisa na kujua kuwa hii ndo mali ya roho nikiwa 4m 1 na tokea nime fanyiwa ujinga nikiwa 4m 2 mpaka leo hata nikasikia demu wangu ame gongwa mi sina noma namuacha tu kwa swali moja ume gongwa akisema ndio namwambia kama jamaa hapo juu. tunaendelea na maisha ila nita msihi kuwa makini.
 
My dear why nisuse utamu.... Labda niwe sina njaa.... Kwani mwingine akigegeda atamaliza? Si inabaki for future use? Najilia na akitaka apeleke na kwingine.si yake mwenyewe... Mali yake siwez mpangia matumizi
Hainaga makombo hiyoo
 
Wamekuelewa...

Tatizo binadamu ni wabishi sana...

Alafu mara nyingi chanzo cha hizo vita zote unakuta ni mwanamke mwenyewe ndiyo mchochezi...


Cc: mahondaw
 
JAMAA anajua kabisa demu wake amekuzimia sasa anajitaidi juu chini asipate upenyo siku anapata chance anakuja utafanyaje umuache kweli, hiyo dhambi sijui utajibuje
Ndio maana ngozi nyeupe hua hawana hiyana. demu akikuzimikia, anamuomba mume wake ruhusa ya ya kugegedwa na jamaa bila hiyana anakubali
 
Ndio maana ngozi nyeupe hua hawana hiyana. demu akikuzimikia, anamuomba mume wake ruhusa ya ya kugegedwa na jamaa bila hiyana anakubali
kweli ila hadi wabongo tufikie huko kazi iko maana sisi demu asipo pokea simu tu ni majanga unaanza ku maind, akiliwa sijui utafanyaje
 
Ndio maana ngozi nyeupe hua hawana hiyana. demu akikuzimikia, anamuomba mume wake ruhusa ya ya kugegedwa na jamaa bila hiyana anakubali
mimi ningekuwa nakaaa huko ninge wala kwa mtindo huuu wa kuzimikiwa najitaidi nihakikishe nafuga hata rasta tu, washoboke
 
mimi ningekuwa nakaaa huko ninge wala kwa mtindo huuu wa kuzimikiwa najitaidi nihakikishe nafuga hata rasta tu, washoboke
Anza kufuga alafu uhamie maana sio mbali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom