thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 299
Hapa duniani tunapita tu hakuna atakayebakia ila milima peke yake, hivi mwanamke ni mtu au jini mtu? Kwanini wanajifanya wanabadilika kama rangi kwenye upinde wa mvua? Safari ya mapenzi kwangu imekuwa ndefu sana na natarajia kutooa tena maana wanawake wamekuwa nyundo kwa uongo kwa waume zao.......
Hivi mtu unampigia simu hapokei mara anakata halafu unaamua kunyamaza kimyaaaa baada ya siku kama tatu anakwambia simu iliibiwa baadaye anakwambia nataka kubadili simu hivi wanawake mmetuona sisi wanaume mataira au? Simu iliyoibiwa na inayobadilishwa ni ipi? Sikuongea neno hapo nikamwambia ukibadili unambie......Mpaka leo yupo kimya na anapatikana online everyday lakini si kwa sababu yangu anajua yeye..
........Eti leo ananipigia simu nimelazwa naumwa sasa mimi nimfanyaje? Wanadanganya mpaka wanaanza kusema ukweli kwenye uongo wao........ Mwingine siku hiyo nipo zangu misele mtaani akanipigia simu upo wapi, nikamwambia njiani naelekea kwangu akaniuliza maeneo gani nikamjibu karibu na kibao cha shule akanambia nimsubiri nikamwambia poa........
Nikakaa kabisa nikimsubiri baada ya muda nampigia ananambia eti nilishapita kwani bado upo hapo uliponambia? Nikamwambia ndio nipo hapa hapa wewe ulipitia wapi?Akakata simu mimi nikaondoka kwenda zangu gero kwangu nilipofika akanipigia tena na kunambia eti daddy wake alimpigia simu na kumuuliza upo wapi that why akanipita bila kuniona mimi nikam challenge na swali dogo tu....Kwani pale kama ungekuja ukaniona tulikuwa tunarudi nyuma au tulikuwa tunaenda njia moja kwenda kwenu na kwangu maana tupo jirani? Akakata simu nami nikamwandikia sms nikamwambia danganya watoto lakini si mimi mchaga ninayejua step zote au mdanganye mama yako na baba yako si mimi......
Nikamblock sasa hawa woote wanawake na wananisumbua sana na kila mmoja nishamwambia ruhusa nimewapa kutafuta mwanaume anayekufaa kama mimi sikufai niache......Lakini wananisumbua tuu kila siku niwafanyaje??????
Nimegombana nao nimechoka now nipo kimya tu ushauri plz ili nijue niwafanye nini mimi......
Hivi mtu unampigia simu hapokei mara anakata halafu unaamua kunyamaza kimyaaaa baada ya siku kama tatu anakwambia simu iliibiwa baadaye anakwambia nataka kubadili simu hivi wanawake mmetuona sisi wanaume mataira au? Simu iliyoibiwa na inayobadilishwa ni ipi? Sikuongea neno hapo nikamwambia ukibadili unambie......Mpaka leo yupo kimya na anapatikana online everyday lakini si kwa sababu yangu anajua yeye..
........Eti leo ananipigia simu nimelazwa naumwa sasa mimi nimfanyaje? Wanadanganya mpaka wanaanza kusema ukweli kwenye uongo wao........ Mwingine siku hiyo nipo zangu misele mtaani akanipigia simu upo wapi, nikamwambia njiani naelekea kwangu akaniuliza maeneo gani nikamjibu karibu na kibao cha shule akanambia nimsubiri nikamwambia poa........
Nikakaa kabisa nikimsubiri baada ya muda nampigia ananambia eti nilishapita kwani bado upo hapo uliponambia? Nikamwambia ndio nipo hapa hapa wewe ulipitia wapi?Akakata simu mimi nikaondoka kwenda zangu gero kwangu nilipofika akanipigia tena na kunambia eti daddy wake alimpigia simu na kumuuliza upo wapi that why akanipita bila kuniona mimi nikam challenge na swali dogo tu....Kwani pale kama ungekuja ukaniona tulikuwa tunarudi nyuma au tulikuwa tunaenda njia moja kwenda kwenu na kwangu maana tupo jirani? Akakata simu nami nikamwandikia sms nikamwambia danganya watoto lakini si mimi mchaga ninayejua step zote au mdanganye mama yako na baba yako si mimi......
Nikamblock sasa hawa woote wanawake na wananisumbua sana na kila mmoja nishamwambia ruhusa nimewapa kutafuta mwanaume anayekufaa kama mimi sikufai niache......Lakini wananisumbua tuu kila siku niwafanyaje??????
Nimegombana nao nimechoka now nipo kimya tu ushauri plz ili nijue niwafanye nini mimi......