illuh
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 1,254
- 700
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi, ukimwambia no yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika.
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi?
Ni ushamba?
Mkiwa katika mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya.
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi?
Ni ushamba?
Mkiwa katika mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya.