Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,455
Kuna watoto hapa😀Uliza tu kaka Mshana, ukikaa nalo moyoni litakuchosha 🤣
Kuna watoto hapa😀Uliza tu kaka Mshana, ukikaa nalo moyoni litakuchosha 🤣
Ibaki ngono😂😂🙌🏿🙌🏿🏃🏿Mapenzi yafutwe....
Watoto wameshaenda kulala 😂Kuna watoto hapa😀
Na yapigwe marufuku hata kuongelewaMapenzi yafutwe....
Haya watoto KENZY , Doji MD , MENEMENE TEKERI NA PERESI mkalale, nibaki nayajenga kiutu uzima na uncle wenuKuna watukutu kama KENZY wako macho bado
Aaanha jamani, yamekufanyia nini? mbona mimi najionea raha tu!Na yapigwe marufuku hata kuongelewa
Nayo ifutwe hadi reforms zifanyikeIbaki ngono😂😂🙌🏿🙌🏿🏃🏿
🥱🥱🥱🤣🤣🤣Nayo ifutwe hadi reforms zifanyike
Pole mdogo akee, yani kuna namna mapenzi yakinoga mtu unakua kama hamnazo hivi na yanakuendesha haswaaa.Dah! Nakumbuka nikiwa bado kabinti kadogo dogo nikapata mchumba huyo anasafiri safiri mikoani kikazi akawa ananitumia nauli, natoroka home naenda huko tunaenjoy weee ila akajaga kwenda mwanza alivyorudi sasa kushika simu yake kuna mdada akawa amemsave my wife na walikutana huko huko Mwanza, nilimind sema nilivyo mpumbavu akanidanganya huyo mdada kajisave mwenyewe so, mie nikatulia tukaendeleza gurudumu ila at the ending of the day, tuliachanaga. Huyu kijana sema alinipelekesha sana nikajua tutafika hata mbali dah! 😅😅 ngoja niishie hapo tu
Ukikutwa unapiga story za mapenzi faini milioni mbili au jela miaka miwili au vyote kwa pamojaNa yapigwe marufuku hata kuongelewa
Hapana, ninyamaze tu ila... mtu mpaka unajiuliza ni mimi huyu au nilirogwa!Aaanha jamani, yamekufanyia nini? mbona mimi najionea raha tu
Yaani Acha tu, hawa vijana wa kiume wanajua kuharibu akili zetuPole mdogo akee, yani kuna namna mapenzi yakinoga mtu unakua kama hamnazo hivi na yanakuendesha haswaaa.
Iwe kifungo cha maisha kabisa.Ukikutwa unapiga story za mapenzi faini milioni mbili au jela miaka miwili au vyote kwa pamoja
Au wanyongwe tuIwe kifungo cha maisha kabisa.
Unapigwa matukio mpaka ubongo unacheza na bado unaendelea kukazana kuonyesha upendo.Mm
Hapana, ninyamaze tu ila... mtu mpaka unajiuliza ni mimi huyu au nilirogwa!
🤣 🤣 🤣Niliwasha radio saa 8 ya usiku we acha tu
Long story na nimechoka🤣 🤣 🤣
Eeeenhe ilikuwaje?