Kijacho Jr
Member
- Dec 23, 2014
- 53
- 14
Kwa wadau waliopo makini mnakumbuka niliposti kuwa natafuta Mchumba wiki chache zilizopita yaliyonitokea nimepata Msichana mrembo amejaliwa akani PM tukaonana, ila Msichana anakunywa sana Pombe kutoka siku tuliyokutana mpaka leo hii sijui ni kunikomoa.