Mapenzi basi tena


wow thats why ur great thinker unakunywa bia????nidai kreti 1 kama soda poa
 
Hiyo namba yako walioteshwa hao walionayo?
 

Nitafute nikupe dawa hiyo sio dawa
 
Karibu sana kwa yesu...yote yalikwisha pale msalabani, tena kunafuraha kubwa mbinguni kwa kukubali kuacha yote na kuwa mpya.... Ukiamua kutoka moyoni na kuishi maisha mapya ya kumpendeza mungu hutojuta kamwe take it from me
 
heheheh!! eti nimeamua kuokoka, mapenzi sasa basiii!!...nani kasema?....hata wachungaji wanagegeda tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…