Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

Katika kukakibiliana na matumizi makubwa ya pesa kuendesha nchi rais JPM anakuaudia kuteuwa Baraza la lisilo na Mawaziri wadogo chanzo ndani ikulu kimeniambia.Magufuli ametaka kazi zifanywe na makatibu wakuu ambao kimsingi ni watalaamu.

Mh rais amehoji mbona wizara ya ulinzi imefanya vema bila waziri mdogo na kwa ufanisi sana.

My take; kwa kuwa manaibu waziri sio wajumbe wa vikao vya baraza ni vema iwe hivyo tuokoe pesa.

Bado ni tetesi kama itakuwa kweli tumpe hongera

Huyu mbaba atasababisha watu tueshimiane kwa mwendo huu ni hatari wapenda vyeo kazi wanayo bora zetu sisi tumezoea maisha yetu ya kuungaunga kwa gudi :cool::cool::cool::cool::cool:
 
Kusudi la vitu maalum ni jema. Ila tatizo vinatolewa kwa wasio stahili. Ccm na UKAWA walitazame hili kwa jicho kali. Mambo ya kuwapa vimada au watu fulani kama zawadi ni kuharibu lengo lilokusudiwa na ni ujinga mkuu.

Serikali iweke vigezo na si kuwaachia vyama vya siasa au wafuate KATIBA YA WARIOBA iliweka viti maalumu kwa mikoa na wanawake kupitia vyama vyao wanashindana wenyewe kwa wenyewe
 
Mhe. Rais analenga ufanisi na kubana matumizi, halafu kuna watu wanapiga debe eti amteuwe Lipumba sijui Slaa, huku si kuongeza matumizi jamani??!!!

Kwanza ni vile tu ni matakwa ya katiba kuwa baraza la mawaziri, otherwise nilikuwa sioni umuhimu wao kwa kasi hii, sasa sana watakuja kumuharibia Magufuli trend yake aanze tena kudili na madudu yao badala ya kuzidi kusonga mbele
 
Manaibu ni muhimu ila cha msingi anaweza kupunguza idadi ya wizara. Waziri kama hayupo kwa mfani bungeni nani atawakilisha wizara na utambue makati wakuu si wanasiasa na.hivyo hawawezi kujibu hoja bungeni.

Kwa nini waziri asiwepo bungeni wakati safari za nje tumefuta?
 
hii imekaa vzuri zaidi, mawazairi wengine wanakuwa mizigo, makatibu wakuu ndo kila kitu bhana
 
Tumeshuhudia awamu zilizo pita katika uteuzi wa baraza la mawaziri tuliona awamu ya Benjamini alivyotumia 5 days tu na kutaja baraza lake la mawaziri pia tuliona Kikwete baada ya siku 14 tu akataja baraza lake toka alipo apishwa, leo cha kushangaza inakwenda siku ya 30 kimya toka aina ya Rais ambae watanzania waliomtaka aapishwe, lakini cha kutangaza mpaka leo hajatangaza baraza lake, na wala haonyeshi kama yuko na nia ya kutangaza baraza hilo.

Cha ajabu serikali ina endeshwa na watu 4 tu yaani rais magufuli, ombeni sefue , kasim majaliwa, na mwanasheria mkuu wa serikali , na tunaona serikali inakwenda vizuri sana tena wengi tunatamani hawa mawaziri wasiwepo kabisa , waendelee tu hayamajembe yetu, hii inaonyesha kuwa " kumbe inawezekana serikali kuongozwa na 4 people only.

Hongereni majembe
Nawasilisha hapa kazi tuu



Ni kwa sababu ndani ya CCM hakuna mtu msafi wote ni mafisadi na ndiyo maana walikuwa hawataki kuendeleza nchi matokeo yake wakawa wanabebana tu na kulindiana maslahi. Ila huyu Magufuli na kundi lake ni majembe haswa. Mie namuomba mwenyezi Mungu ambariki JPM abadili katiba ili tuwakamate marais waliopita na kuwafunga kwa kuhujumu nchi.
 
Ni kwa sababu ndani ya CCM hakuna mtu msafi wote ni mafisadi na ndiyo maana walikuwa hawataki kuendeleza nchi matokeo yake wakawa wanabebana tu na kulindiana maslahi. Ila huyu Magufuli na kundi lake ni majembe haswa. Mie namuomba mwenyezi Mungu ambariki JPM abadili katiba ili tuwakamate marais waliopita na kuwafunga kwa kuhujumu nchi.

haswaaaaaa.......haoni wa kumteua..wote wapiga dili
 
Hivi hakuna sheria yoyote inayombana rais kuteua baraza la mawaziri, au yupo huru hata kama akichukua miezi 6? Maana kwa waziri mkuu kuna muda maarumu, wa kuteuliwa na kuapishwa, mara baada ya rais kuapishwa.
 
Binafsi naona kama Mawaziri watambana Magufuli uwanja wa kujiachia.
 
Aendelee kuchelewa, maana tumeshaokoa mishahara ya mawaziri na manaibu ya mwezi mzima..! na hakuna kazi wanayofanya, makatibu wakuu wa wizara wapewe majukumu yao.., kazi ilikuwa kula mahotelini na kuzunguka na mashangingi.., uwaziri ufutwe tu, hauna tija..
 
Kufutwa kwa uchaguzi znz wala si kigezo kikubwa kisheria cha kutochagua mawazi.
Ni utashi wake na jopo lake ktk oungozi.
Aendelee kutulia hivi hivi hata rais wa sasa wa Negeria ilimchukuwa zaid ya miez mi4 kutangaza baraza.
 
Back
Top Bottom