Kutokana na tabia za watawala zilivyo duniani kote, huteua mtu asiyejulikana au asiye na jina ili aweze kum-control awe yes man, kama JPM alivyotaka kufanya kwa TULI, ili amtumie kulituliza Bunge, nadhani mmenielewa.
Hivyo basi kwenye uwaziri mkuu hamtaamini. Ni jina msilolitarajia kabisa ndilo litakaloibuka. Rejea Mkapa alivyomwibua mtu aliyekuwa Waziri kwa mwaka 1 tu Tluway Sumaye.
Jina hili laweza toka Kanda ya Mashariki au Nyanda za Juu Kusini. io ziwani wala sio kaskazini.
Tukutane leo jioni hapa jamvini mtaniambia.
Hivyo basi kwenye uwaziri mkuu hamtaamini. Ni jina msilolitarajia kabisa ndilo litakaloibuka. Rejea Mkapa alivyomwibua mtu aliyekuwa Waziri kwa mwaka 1 tu Tluway Sumaye.
Jina hili laweza toka Kanda ya Mashariki au Nyanda za Juu Kusini. io ziwani wala sio kaskazini.
Tukutane leo jioni hapa jamvini mtaniambia.