dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Mzee,
Mambo ya Dkt Magufuli na PM wake mwachie mwenyewe.
Kwani ataongoza familia yake peke yake?
Mzee,
Mambo ya Dkt Magufuli na PM wake mwachie mwenyewe.
kwa ccm hizo ndio sifa za kuwa kiongozi, kuwanyanyasa watu hasa wakiwa wapinzani na ukitaka kuwa waziri au kiongozi wa ccm wewe watukane viongozi wa upiinzani
Your analytical level must be very very low..endelea kuamini kiongozi mzuri lazima atoke UKAWAKwangu wote kokoto tu,hakuna mtu makini atatokea CCM
Kwa hiyo Deo Filikunjombe alikuwa chaguo la JPM kuwa waziri mkuu au ni maoni binafsi?
Tuanze elimination
Kanisome niliwahi kusema nini kumhusu Nchemba!.
- Dr. Harrison Mwakyembe-ni too sensesional, a good preacher but don't practice what he preach!, just a populist!
- Sospeter Muhongo-anafaa sana!, ila ni dikteta!. Kwa vile Magufu pia ni dikteta!, hivyo dikteta plus dikteta..!
- William Lukuvi-huyu ni kiazi!, don't even think of him!.
- Kassim Majaliwa-akipewa labda kwa ajili tuu ya kubalance kwamba zaidi ya Dr. Salim, bado kuna Muislamu mwingine anaweza kuwa PM!, lakini kwa track record ya Tamisemi!, huyu ni totally unthinkable!.
- Mwigulu Nchemba-This is the man!, if not Januay for 2025 preparations !.
Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!
Pasco
Aliferi kwenye jimbo lake saa hivi sio mbunge
Hata wangemchagua Ritz kwangu sioni shida kwa sababu ccm ni wale waleee lakini chonde chonde rais wetu usimchague Mwingulu tu. Hana sifa yeyote hata kisomo chake ni cha kuungaunga. Hata January anampiku kwani anavaa miwani
Kwangu wote kokoto tu,hakuna mtu makini atatokea CCM
Rais wangu mh. Magufuli pamoja na watu wako karibu wakiwemo washauri wako akiwemo mkwere anaye set remote yake akiwa msoga lakini masafa yake yakikamata ufukweni mwa bahari ya Hindi magogoni.....Kuhusu Nani anafaa kuwa wazir mkuu na asiyefaa pia....
Nayaandika haya nikiwa mwepesi na nisiye na chuki na mtu yeyote hapa ni mawazo na kupingwa si mbaya pia ni kuhusu kutapatapa kwa wanakyela weeengi na wanyakyusa kwa ujuimla kumpigia chapuo DR. HARRISON MWAKYEMBE ateuliwe kuwa PM wa JMT...kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo jf wamekuwa wakijinasibu kuwa waziri mkuu lazima atoke unyakyusani yaani huko Kyela...mimi naona ni ujinga mkubwa kwa wasomjua dr Mwakyembe....ngoja tuseme machache tuuu...
Dr. Mwakyembe alipokuwa kisaka ubunge kwa tiketi ya CCM 2005 amewahi kusababisha mpasuko mkubwa sana wa kisiasa na kijamii kwa kuleta fitina kubwa sana sana....
1. Alileta mpasuko na mgawanyiko kwa wanakyela kwa kuwafitinisha wanakyela na mbunge mstaafu ndg John Livingstone Mwakipesile na mkuu wa mkoa wa mbeya mstaafu...akisema mkuu huyo mstaafu anazuia maendeleo kyela kitu kilichowaaminisha wanakyela kuwa ni kweli(unga wa NDERE)
2. Amekuwa akipambana na wana CCM wenzake kwa kuwahujumu miradi yao ya kibiashara kisa wanaonesha nia ya kuwania kiti cha ubunge...mfano ni mzee mmoja ambaye sijayatambua majina yake halisi nimefanikiwa kupata la Mwakalinga ambaye ni mmiliki wa Kyela fm radio mpaka leo imefungwa kwa tamko la dr. mwakyembe najiuliza yeye kama nani???? hapa utagundua ni mtu wa fitna sana sana....amewahi kushiriki kuiba kura za maoni ndani ya CCM akishirikiana na kaka yake wa zanzibar naye aitwaye MWAKYEMBE hivyo hivyo.
3. Kioja cha ajabu sasa amepenga kwa sasa kupambana na wafanyabiashara wote wa soko kuu KYELA kuwa watamtambua kwa kuwa hawakumchagua yeye badala yake wanawachagua eti wakinga.,,,,,je huyu anafaaa kuwa kiongozi a taifa ambaye ana ubaguzi ni kweli ukienda soko la kyela wakinga ni wengi na wachapakazi kweli kweli lakini amepanga kuwanyoosha hii aliitamka mwwenyewe akiwa viwanja vya siasa wilaya ya kyela akishangilia ubunge wake na wanaccm wenzake nilikwenda pakwa sifa hizi hafai kuwa kiongozi wa kitaifa licha ya sifa zote hizi.....Kyela kupo hovyo haijawahoi kutokea,....MAGUFULI ATAIKWAA TU HAPA KWA MWAKYEMBE MAANA WANYAKYUSA WANAENDELEZA KAMPENI ZAO MITANDAONI HASA FACEBOOK PAGE YAO...BAADHI YENU ACHENI UKABILA HUO SINA CHUKI NAYE ILA ATAPATA SHIDA KUWAONGOZA WATU WASIOMTAKA KAMWE MWAKYEMBE NI MAFIA WASIOTABIRIKA AISEE NI WATU WENYE DHARAU SANA SANA...."MNALALAMIKA MAJI WKATI YAPO MTONI MENGI TENA YA BURE" "MSIPONICHAGUA MIE MIZUKA ITANICHAGUA TUU" NIMEMALIZA TAMBUA SINA CHUKI NA MWAKYEMBE ILA ANAYOWAFANYIA WANAKYELA NDIO YANANIFANYA NIANDIKE HAYA NILIKWENDA KULE KIPINDI FULANI NIKAONA HAYA...AMAUMIZA WATU WENGI SANA KIPINDI CHA KAMPENI ZAKE INAAMINIKA ALIKODI MAGENGE YA WAHUNI KUCHPA RAIA WANAOMPINGA JE ANAFAA HUYU???NIMEMALIZA MAOMBI YA WANYAKYUSA AWE PM ANGALAU WALE NAO NDIO KAULI MBIU KWA HII HAIFAI BANDUGU.....UTWAMBOMBOOOOOOO BANYAKYUUSA
1. Dr. Harrison Mwakyembe
2. Sospeter Muhongo
3. William Lukuvi
4. Kassim Majaliwa
5. Mwigulu Nchemba