Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

Kwa wingi wa hii mikataba feki
Tunahitaji waziri Mkuu awe mfuatiliaji sio wa kupiga blaa blaa nyingi kuliko matendo...lakini pia awe na uwezo mkubwa wa masuala ya kisheria
Nampa kura yangu Dr. Harrison Mwakyembe

Huyu ndo hamna kitu,tofauti na MUHONGO au LUKUVI maji yatamzidi.
Vipi kuhusu mabehewa mmesahau?.
Tofauti na hao wawili yatupasa kumhurumia.
 
Kwa wingi wa hii mikataba feki
Tunahitaji waziri Mkuu awe mfuatiliaji sio wa kupiga blaa blaa nyingi kuliko matendo...lakini pia awe na uwezo mkubwa wa masuala ya kisheria
Nampa kura yangu Dr. Harrison Mwakyembe

Huyo ndo hamna kitu,tofauti na MUHONGO na LUKUVI yatupasa kumpa pole.
Umesahau mabehewa?.
Hawezi lolote bali kujitengenezea mifereji tu.
 
Huyu ndo hamna kitu,tofauti na MUHONGO au LUKUVI maji yatamzidi.
Vipi kuhusu mabehewa mmesahau?.
Tofauti na hao wawili yatupasa kumhurumia.

Mwakyembe hahusiki na mabehewa feki yeye ndiye aliunda Tume kuchunguza, acheni kuchafua watu ili ionekane hakuna anayefaa kafieni mbali na Chadema yenu......
 
Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rais mteule wa awamu ya tano, nani unahisi atateuliwa na mheshimiwa John Pombe Magufuli kuwa Waziri Mkuu ?

Kwa kuwasaidia wachangiaji, ni vema mtoa mada uwe umewaelewesha wengine jinsi waziri mkuu anavyopatikana. Kwa mujibu wa Katiba ya 1977. Waziri mkuu anatokana na wabunge waliochaguliwa majimboni. Na lazima atokane na chama chenye wabunge wengi. Ikitokea wabunge wa upinzani na chama tawala wakalingana, basi waziri mkuu atachanguliwa kwa mujibu wa yule mwenye ushawishi zaidi ya wengine. Kimsingi, waziri mkuu hatoki miungoni mwa wabunge wa viti maalum au wanaoteuliwa na Rais.
 
Natambua JPM ana kazi kubwa ya kuteua baraza la mawaziri. Katika kuchangia juu ya suala hilo, kama mwananchi wa kawaida napendekeza aangalie mawazo haya pia:

1. Harrison Mwakyembe, Waziri Mkuu
2. Asha Rose Migiro, Mambo ya Nje
3. January Makamba, Afrika Mashariki
4. Sospter Muhongo, Maji, Nishati na Madini
5. William Lukuvi, Ardhi, Maliasili na Mazingira
6. Adadi Rajabu, Mambo ya Ndani
7. Kabudi Palamagamba, Katiba na Sheria (mbunge wa kuteuliwa)
8. Mwigulu Nchemba, Fedha na Uchumi
9. Luhiga Mpina, Viwanda, Biashara na Utalii
10. Stephen Wassira, Ofisi ya Rais Kazi Maalum (mbunge wa kuteuliwa)
11. Diodurus Kamala, Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi
12. Aggrey Mwanri, TAMISEMI (mbunge wa kuteuliwa)
13. Mwele Malecela, Afya (mbunge wa kuteuliwa)
14. Assumpter Mshama, Maendeleo ya Jamii
15. Mohamed Seif Khatibu , Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano
16. Jumanne Maghembe, Kilimo na Misitu (inajumuisha Uvuvi na Mifugo)
17. Makame Mbarawa, Habari na Mawasiliano
18. Ramo Makani, Miundombinu na Uchukuzi
19. Sifuni Mchome, Elimu, Sayansi na Teknolojia
20. Charles Makakala, Ulinzi na JKT (mbunge wa kuteuliwa)
21. Juma Nkamia, Habari, Utamaduni na Vijana
22. Jennister Mhagama, Uratibu wa Bunge
23. Lazaro Nyalandu, Ofisi ya Rais Uwekezaji na Mahusiano

24. Angela Kairuki, Naibu Ardhi, Maliasili na Mazingira
25. Kangi Lugora, Naibu TAMISEMI
26. Ummy Mwalimu, Naibu Habari, Utamaduni na Vijana
27. Janet Mbene, Naibu Viwanda, Biashara na Utalii
28. Charles Mwijage, Naibu Maji, Nishati na Madini


Haka ni ka-baraza kadogo, kalikozingatia mabadiliko ya wizara, na si kila wizara iwe na naibu. Awape hao kwanza changamoto kisha ataangalia wapi pa kurekebisha mbele ya safari kulingana na utendaji na changamoto. Kwa sasa asijali sana suala la ukabila, aangalie "kazi tu".
 
Natambua JPM ana kazi kubwa ya kuteua baraza la mawaziri. Katika kuchangia juu ya suala hilo, kama mwananchi wa kawaida napendekeza aangalie mawazo haya pia:

1. Harrison Mwakyembe, Waziri Mkuu
2. Asha Rose Migiro, Mambo ya Nje
3. January Makamba, Afrika Mashariki
4. Sospter Muhongo, Maji, Nishati na Madini
5. William Lukuvi, Ardhi, Maliasili na Mazingira
6. Adadi Rajabu, Mambo ya Ndani
7. Kabudi Palamagamba, Katiba na Sheria (mbunge wa kuteuliwa)
8. Mwigulu Nchemba, Fedha na Uchumi
9. Luhiga Mpina, Viwanda, Biashara na Utalii
10. Stephen Wassira, Ofisi ya Rais Kazi Maalum (mbunge wa kuteuliwa)
11. Diodurus Kamala, Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi
12. Aggrey Mwanri, TAMISEMI (mbunge wa kuteuliwa)
13. Mwele Malecela, Afya (mbunge wa kuteuliwa)
14. Assumpter Mshama, Maendeleo ya Jamii
15. Mohamed Seif Khatibu , Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano
16. Jumanne Maghembe, Kilimo na Misitu (inajumuisha Uvuvi na Mifugo)
17. Makame Mbarawa, Habari na Mawasiliano
18. Ramo Makani, Miundombinu na Uchukuzi
19. Sifuni Mchome, Elimu, Sayansi na Teknolojia
20. Charles Makakala, Ulinzi na JKT (mbunge wa kuteuliwa)
21. Juma Nkamia, Habari, Utamaduni na Vijana
22. Jennister Mhagama, Uratibu wa Bunge
23. Lazaro Nyalandu, Ofisi ya Rais Uwekezaji na Mahusiano

24. Angela Kairuki, Naibu Ardhi, Maliasili na Mazingira
25. Kangi Lugora, Naibu TAMISEMI
26. Ummy Mwalimu, Naibu Habari, Utamaduni na Vijana
27. Janet Mbene, Naibu Viwanda, Biashara na Utalii
28. Charles Mwijage, Naibu Maji, Nishati na Madini


Haka ni ka-baraza kadogo, kalikozingatia mabadiliko ya wizara, na si kila wizara iwe na naibu. Awape hao kwanza changamoto kisha ataangalia wapi pa kurekebisha mbele ya safari kulingana na utendaji na changamoto. Kwa sasa asijali sana suala la ukabila, aangalie "kazi tu".

Wale wote waliokua kwenye kamati ya watu 32 na kushiriki kikamilifu wana nafasi ndogo sana ya kuingia kwenye baraza la mawaziri. So, kaipitie tena list yako halafu urudi.
 
Kwanza hakuna sababu za kuteua wabunge ili wawe mawaziri, kama waliopo atashindwa kupata mawaziri basi avunje bunge turudi kwenye uchaguzi ili hao anaowataka wakagombee huko majimboni
 
Sioni mabadiliko yoyote kama wananchi wamewakataa Steven Wassira, Agrey Mwanri, Charles Makala halafu JPM awarudishe na kuwapa Wizara, nitakuwa ni dharau kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom