Mapendekezo ya sheria mpya

Mapendekezo ya sheria mpya

we msukuma wa bariadi hapo ndio umeonyesha umbumbumbu na upunga. ndio maana huko marekani umeolewa kwasababu ya utupu kichwani wa aina hii. nyie sijui nani kawaloga, mnaweza tu kufunga ng'ombe.

Umenichekesha.
 
uwa
Toka rais Magufuli aingie madarakani kumekuwepo na kelele nyingi sana hususan humu JF za kwamba eti yeye ni mkabila na mkanda.

Kwamba eti yeye serikali yake imejaa Wasukuma na watu wengine wa kanda ya ziwa. Nimejaribu kwa muda mrefu sasa na bila mafanikio kuomba nipewe takwimu zinazothibitisha hayo madai lakini wapi!

Sasa jana na leo yameibuka ya CCM kama chama kutuhumiwa hayo mambo. Kwamba eti CCM sasa ni chama cha kikanda kwa sababu mwenyekiti mpya wa UVCCM eti ni mpwa wa Magufuli.

Mimi sijui kama kweli huyo mtu ni mpwa wa Magufuli au la. Bado nasubiri uthibitisho na/au maelezo zaidi juu ya hilo.

Ila kwa sasa ningependa kupendekeza jambo moja au mambo kadhaa, kutegemea na mtu utavyolichukulia suala lenyewe.

Ni hivi, napendekeza iundwe sheria itayokataza viongozi wa serikali, kuanzia rais hadi viongozi wengine wenye madaraka na mamlaka ya kuteua watumishi, kuteua watu wa makabila yao, imani zao za dini, madhehebu yao ya dini, jinsia zifananazo na zao, watu watokao kanda watokazo wao, marafiki zao, majirani zao, jamaa zao, na mambo mengine kama hayo ili kuondoa haya manung’uniko ya upendeleo wa hiyo misingi katika utumishi wa umma.

Yaani kwa mfano kwa mfano, kama Magufuli ni Mkristo na Mkatoliki basi ni marufuku yeye kuteua watu wa imani ya Kikristo na Wakatoliki wenzie. Vilevile, itakuwa ni marufuku yeye kuteua watu wa kanda ya ziwa....yaani hakuna cha kuteua Mnyamwezi, Msukuma, Mkurya, Mhaya, Mjaluo na wengineo wote watokeao huko hata kama wana sifa nzuri namna gani. Pia hakuna kuteua wanaume.

Ateue Wachaga, Wagogo, Wandengereko, Wapagani, Waislamu, wanawake, na wengine ambao hafanani nao kwa namna yoyote ile ukiondoa labda rangi ya ngozi tu.

Naamini kwa dhati kabisa kuwa sheria kama hii italeta usawa, italifurahisha taifa, na itaondoa kabisa ubaguzi na upendeleo kwenye utumishi wa umma.
uwa nafuatilia maandiko yako,mengi yalionyesha kama una busara, lakini hili hapa ni bandiko la kitoto sana. maybe this was after inebriating your brain.
 
Mabeyo alikuwa mkuu wa MIS na akapandishwa akawa mnadhimu mkuu


Mwamunyange alikuwa mkuu wa jkt na kama sijakosea mwaka mmoja kabla ya cdf wa wakati ule kustaafu alipandishwa kuwa mnadhimu mkuu


Huyo jamaa hana fact

Hujaelewa nilichoeleza...pole

Sijakataa kuwa hao uliowataja hawakupitia Unadhimu Ukuu....ninachosema...it is not Automatic kwamba ukiwa mnadhimu Mkuu then lazima uje kuwa CDF
 
Toka rais Magufuli aingie madarakani kumekuwepo na kelele nyingi sana hususan humu JF za kwamba eti yeye ni mkabila na mkanda.

Kwamba eti yeye serikali yake imejaa Wasukuma na watu wengine wa kanda ya ziwa. Nimejaribu kwa muda mrefu sasa na bila mafanikio kuomba nipewe takwimu zinazothibitisha hayo madai lakini wapi!

Sasa jana na leo yameibuka ya CCM kama chama kutuhumiwa hayo mambo. Kwamba eti CCM sasa ni chama cha kikanda kwa sababu mwenyekiti mpya wa UVCCM eti ni mpwa wa Magufuli.

Mimi sijui kama kweli huyo mtu ni mpwa wa Magufuli au la. Bado nasubiri uthibitisho na/au maelezo zaidi juu ya hilo.

Ila kwa sasa ningependa kupendekeza jambo moja au mambo kadhaa, kutegemea na mtu utavyolichukulia suala lenyewe.

Ni hivi, napendekeza iundwe sheria itayokataza viongozi wa serikali, kuanzia rais hadi viongozi wengine wenye madaraka na mamlaka ya kuteua watumishi, kuteua watu wa makabila yao, imani zao za dini, madhehebu yao ya dini, jinsia zifananazo na zao, watu watokao kanda watokazo wao, marafiki zao, majirani zao, jamaa zao, na mambo mengine kama hayo ili kuondoa haya manung’uniko ya upendeleo wa hiyo misingi katika utumishi wa umma.

Yaani kwa mfano kwa mfano, kama Magufuli ni Mkristo na Mkatoliki basi ni marufuku yeye kuteua watu wa imani ya Kikristo na Wakatoliki wenzie. Vilevile, itakuwa ni marufuku yeye kuteua watu wa kanda ya ziwa....yaani hakuna cha kuteua Mnyamwezi, Msukuma, Mkurya, Mhaya, Mjaluo na wengineo wote watokeao huko hata kama wana sifa nzuri namna gani. Pia hakuna kuteua wanaume.

Ateue Wachaga, Wagogo, Wandengereko, Wapagani, Waislamu, wanawake, na wengine ambao hafanani nao kwa namna yoyote ile ukiondoa labda rangi ya ngozi tu.

Naamini kwa dhati kabisa kuwa sheria kama hii italeta usawa, italifurahisha taifa, na itaondoa kabisa ubaguzi na upendeleo kwenye utumishi wa umma.
Watu hawajalalamikia kuteuliwa watu kwa kufata protocal yako wanacholalamika Ni wingi Wa watu Wa kanda ya ziwa kwenye sirikal
 
Thank you!

Ninachotaka uelewe ni kwamba ukiwa mnadhimu Mkuu sio lazima uje kuwa CDF...wafuatao waliwahi kuwa wanadhimu wakuu lakini hawakuwa ma-CDFs....

Brigadier General Tumainiel Kiwelu 1975-1980;

Major General Imrani Kombe 1980-1983;

Major General M.N. Mwakalindile 1983-1988;

Lieutenant General Kiwelu 1988-1994;

Lieutenant General G. F. Sayore from 1994-2001

Lieutenant General Iddi Gahu 2001-2006

Lieutenant General Abdulrahman Shimbo 2007-
 
Ninachotaka uelewe ni kwamba ukiwa mnadhimu Mkuu sio lazima uje kuwa CDF...wafuatao waliwahi kuwa wanadhimu wakuu lakini hawakuwa ma-CDFs....

Brigadier General Tumainiel Kiwelu 1975-1980;

Major General Imrani Kombe 1980-1983;

Major General M.N. Mwakalindile 1983-1988;

Lieutenant General Kiwelu 1988-1994;

Lieutenant General G. F. Sayore from 1994-2001

Lieutenant General Iddi Gahu 2001-2006

Lieutenant General Abdulrahman Shimbo 2007-

Ni kweli.

Lakini kwa Mabeyo, kwa kuangalia umri wa utumishi na cheo alichokuwa nacho, sikuona mwingine ambaye alirukwa na kupewa yeye.

Umri wake ulikuwa unaruhusu na pia ndo alikuwa second in command.

Hakuna ukabila hapo.
 
Back
Top Bottom