Mapendekezo ya sheria mpya

Mapendekezo ya sheria mpya

Ukabila na ukanda ulikuwa ukisemwa uvunguni na ukipigwa vita sana. ila sasa ni nje nje
 
Ndo maana niliwauliza wale waliodai kuwa mkuu wa majeshi alipoteuliwa kwamba aliteuliwa kwa msingi wa ukabila....mie nikahoji kwamba baada ya Jen. Mwamunyange ni nani aliyekuwa next in line?

Mpaka leo sijapewa jibu!
Uteuzi wa General Mabeyo hauhusiani na upuuzi unaotajwa/unaosemwa.....isipokuwa ni kweli walikuwepo Senior Generals kwa Mabeyo...wao walipewa ubalozi
 
tutakua tumetibu hili suala la ukabila linaloonekana kukua kwa kasi sana
Ukabila ni nini? Kwamba watu wanaotoka kabila moja wananishi pamoja, wanafanya kazi eneo moja (au maeneo tofauti ila wanafanya kazi ya aina moja -mf ualimu), kwamba watu wa kabila moja wanasoma masomo ya aina moja, na kadhalika? Ukipata fasili ya 'ukabila' utafuta bandiko lako lote.
 
Ni hivi, napendekeza iundwe sheria Vilevile, itakuwa ni marufuku yeye kuteua watu wa kanda ya ziwa....yaani hakuna cha kuteua Mnyamwez....na wengineo wote watokeao huko hata kama wana sifa nzuri namna gani. Pia hakuna kuteua wanaume.

Weeeh ishia hapohapo.....utuache wanyamwezi kabisaaaa utuwacheeee kwani tulikwambia hatutaki utamu? Aahahahahahhahahahaahhahahaaa
Cockroach mendeeee eejhehehehehheheheehee

Baada ya kusema haya natimua mbioooo kabla sijafinywa kiiituuuumboooooo

Aaahahhhahahahahahhahhaahhaahahhahahahaaa
Monkeeeeyyy choda a baba tamuuuuuu

Eehehehehehehehehheheheeeee

Kasie Mahabat Matata.
 
Uteuzi wa General Mabeyo hauhusiani na upuuzi unaotajwa/unaosemwa.....isipokuwa ni kweli walikuwepo Senior Generals kwa Mabeyo...wao walipewa ubalozi

Mabeyo ndo alikuwa mnadhimu mkuu. Alikuwa ni luteni jenerali...mwenye nyota tatu. Mwamunyange alikuwa jenerali mwenye nyota nne.

Ni nani mwingine alikuwa senior zaidi ya Mabeyo? Au unamaanisha senior kivipi? Umri?

Kama ni rank, ni nani alikuwa juu ya mnadhimu mkuu kama siyo CDF?
 
Mabeyo ndo alikuwa mnadhimu mkuu. Alikuwa ni luteni jenerali...mwenye nyota tatu. Mwamunyange alikuwa jenerali mwenye nyota nne.

Ni nani mwingine alikuwa senior zaidi ya Mabeyo? Au unamaanisha senior kivipi? Umri?

Kama ni rank, ni nani alikuwa juu ya mnadhimu mkuu kama siyo CDF?

Ni rank ndio nazungumzia....Infact walikwepo watatu amabo walikuwa Senior kwa Mabeyo...nao ni Lt Gen Kisampa, Lt Gen Mella na Lt Gen Makakala....wakati huo Mabeyo alikuwa Maj General...hao majamaa umri wao wa kustaafu ulikuwa nikaribu sana...
 
Ni rank ndio nazungumzia....Infact walikwepo watatu amabo walikuwa Senior kwa Mabeyo...nao ni Lt Gen Kisampa, Lt Gen Mella na Lt Gen Makakala....wakati huo Mabeyo alikuwa Maj General...hao majamaa umri wao wa kustaafu ulikuwa nikaribu sana...

na hao walikuwa Lt Gens wakati Lt Gen Ndomba akiwa Mnadhimu Mkuu
 
Ni rank ndio nazungumzia....Infact walikwepo watatu amabo walikuwa Senior kwa Mabeyo...nao ni Lt Gen Kisampa, Lt Gen Mella na Lt Gen Makakala....wakati huo Mabeyo alikuwa Maj General...hao majamaa umri wao wa kustaafu ulikuwa nikaribu sana...

NImemkumbuka na Lt Gen mwingine alikuwa anaitwa Lt Gen Ryoba Chacha...hao wote walikuwa senior kwa Mabeyo
 
Ukabila ni nini? Kwamba watu wanaotoka kabila moja wananishi pamoja, wanafanya kazi eneo moja (au maeneo tofauti ila wanafanya kazi ya aina moja -mf ualimu), kwamba watu wa kabila moja wanasoma masomo ya aina moja, na kadhalika? Ukipata fasili ya 'ukabila' utafuta bandiko lako lote.
Neno moja linaweza kuwa na tafsiri mbali mbali inategemea ni wapi linatumika, wakati gani linatumika na akina nani wanalinatumia, usikariri mkuu.
 
Ni rank ndio nazungumzia....Infact walikwepo watatu amabo walikuwa Senior kwa Mabeyo...nao ni Lt Gen Kisampa, Lt Gen Mella na Lt Gen Makakala....wakati huo Mabeyo alikuwa Maj General...hao majamaa umri wao wa kustaafu ulikuwa nikaribu sana...

Fact: Mabeyo alikuwa ndo mnadhimu mkuu wa JWTZ kabla ya kuteuliwa kuwa CDF.

Fact: Mabeyo alikuwa luteni jenerali alipokuwa mnadhimu wa majeshi.

Fact. Mabeyo alipandishwa cheo na kuwa jenerali alipoteuliwa kuwa CDF.

Fact. Mabeyo hakutoka kuwa meja jenerali na kuwa jenerali.
 
Nyani the Ngabu upoo?😀

I’m right here.

Sasa hao wengine kama walikuwa karibu kustaafu they don’t figure into the equation.

Ila, wakati Mabeyo anateuliwa kuwa CDF yeye ndo alikuwa second in command kwa Mwamunyange.

Na hapo alikuwa ni luteni jenerali.
 
Neno moja linaweza kuwa na tafsiri mbali mbali inategemea ni wapi linatumika, wakati gani linatumika na akina nani wanalinatumia, usikariri mkuu.
Wewe acha kujibaraguza, toa fasili [unayoijua wewe] husika kama hujui kaa kimya!
 
Back
Top Bottom