Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 624
- 2,772
1. Sehemu wanayokaa watu kusubiri kuingia ndani kuangalia wagonjwa hasa saa sita na saa kumi ningependekeza pajengwe/pawekwe mabenchi ya kukalia pamoja na banda, mfano wa lile duka la vinjwaji kule ndani karibu na mortuary (wanaopajua watanielewa) ili kusaidia wale ndugu zetu hasa kipindi cha mvua, jua kali, kuchafuka kwa nguo pia kuwa comfortable.
2. Sehemu wanayokaa/lala wale wenye kuuguza wagonjwa usiku pawekwe vifaa vya umeme kuua mbu (outdoor electrical mosquito repeller) kuwasaidia na kuwaokoa na adha ya mbu. nimesema hivi kwa kuwa fumigation yaweza kuwa disturbance.
Ahsanteni.
2. Sehemu wanayokaa/lala wale wenye kuuguza wagonjwa usiku pawekwe vifaa vya umeme kuua mbu (outdoor electrical mosquito repeller) kuwasaidia na kuwaokoa na adha ya mbu. nimesema hivi kwa kuwa fumigation yaweza kuwa disturbance.
Ahsanteni.