Huduma za Hospitali ya Taifa ya Muhimbili zimekuwa bora sana kwa sasa

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
muhimbili-national-hospital-dar-es-salaam-tanzania,-united-republic-of-157.jpg

Nimerudi tena Hospitali ya Taifa ya Muhimbnili baada ya kwenda mara ya mwisho mwaka 2010 ni takribani miaka 8 sasa toka nikajage pale kwa mara mwisho.

Hakika kuna mabadiliko makubwa sana kwa kila nyanja ukianza na taratibu mbalimbali zilizozowekwa hapo hospitali.

USAFI: Suala la usafi ni la hali ya juu sana ukilinganisha na miaka 8 iliyopita ukianza na nje usafi ni safi sana zile sehemu zote za bustani ni safi sana huwezi kuona vitu vimetupwa ovyo ovyo kama hapo awali maua na majani yamekatwa vizuri na wafanya usafi wakiwa na mavazi yao rasmi ya usafi na vitendea kazi bora kabisa.

Ukiingia ndani ya wodi za wagonjwa na ofisi za madaktari na wauguzi ni safi sana, kiukweli usafi ni wa hali ya juu sana mashuka meupe sakafu kavu na safi hakuna vumbi kuta zimepakwa rangi safi hakuna madao wala rangi rangi za ajabu ajabu hakuna harufu kabisa kama ilivyokuwa zamani na hata watumishi wenyewe wanang'aa kwa mavazi yao.

HUDUMA: Kuhusu huduma kwakweli kuna mabadiliko makubwa sana hasa katika kutoa huduma moja kwa moja kwa mgonjwa...Madaktari na Wauguzi na wataalam wengine kila muda na dakika mawazo yao yako kwa mgonjwa tu na si kwa ndugu au jamaa za mgonjwa kama ilivyokuwa zamani.Mgonjwa anapata huduma zote bila ndugu au jamaa wa mgonjwa kusumbuliwa kabisa kwa maana kila dawa inayotakiwa pale kwakweli asilimia 98 mgonjwa anapata tofauti kabisa na zamani ukiingia tu kumuona mgonjwa aidha asubuhi mchana na ile jioni lazima Muuguzi akuite na kukupa kakaratasi kwa kwenda duka la dawa au famasi kununua dawa au vifaa vinavyohitajika kwa mgonjwa.Na pia round za wodini za kuwaona wagonjwa kwa madaktari na wauguzi zimeongezwa tofauti na zamani na imesaidia hata kupunguza vifo vinavyoweza kuzuilika.

MAADILI: Kuna maadili ya hali juu sana kwa wato huduma kwani zile lugha za zamani kwa mgonjwa au hata ndugu wa mgonjwa siku hizi hatuzisikii kabisa mgonjwa anahudumiwa kwa upendo wa hali ya juu sana na kupewa taarifa zote sahihi anazopaswa kupewa wakati akipata huduma kama vile kuhusu dawa,vipimo au hata operation kama inahitajika.Nawapa hongera sana wato huduma kwa kutenda kulingana na viapo vyao.

MALIPO: Kuhusu malipo hapo ni changamoto kwa baadhi ya wagonjwa hasa wale ambao hawana BIMA kwani kila baada ya muda fulani mgonjwa anapritiwa bill yake ili ndugu wajue kuhusu malipo na kuanza kupunguza kidogo kidogo na wapo ambao hushindwa kupata malipo yote hivyo wengine wamekuwa wanapata msamaha wa kupunguziwa kutoka kwa Maafisa wa Ustawi wa jamii kwa vigezo ambavyo wanaona vifaa kwa mgonjwa huyo kupata punguzo la bill yake.Lakini bado wengi wanajitahidi sana kulipa na kuondoka na mgonjwa baada ya kuruhusiwa.

UTAWALA: Utawala wa sasa wa hospitali umepangilia mambo mengi sana kwa taratibu nzuri mfano kuhusu usafi naona kuna kampuni ya usafi wa ndani na nje kuhusu ulinzi kila kona kuna ulinzi na kuelekeza wageni wa wagonjwa kufuata utaratibu,hakuna ndugu kupiga kambi ovyo nvyo ndani ya hospitali bila sababu zozote zile hakuna watu wanaozagazaga tu katika mazingira ya hospitali.

PARKING ZA MAGARI:Utawala umetenganisha parking za magari kwa watumishi na ndugu wa wagonjwa hivyo kupunguza wizi wa magari au vifaa vya magari kwa watumishi.

MAONI :Kwanza hongereni sana watoa huduma kwa kazi ngumu inayofanywa kwa wagonjwa kwani ni huduma za viwango vya juu sana pia ushauri kwa wananchi wajitahidi kujiunga na huduma za BIMA kwani zinasaidia pale unapokuwa huna pesa na unahitaji huduma ya afya.Tatu ni muhimu sana kwa ndugu wa wagonjwa kufuata tartibu zilizowekwa na utawala wa hospitali ili huduma ziwe katika viwango vya kimataifa kwa maana kufuata muda wa kumuona mgonjwa ili kutoingiliana na muda wa kutoa huduma.
 
View attachment 944786
Nimerudi tena Hospitali ya Taifa ya Muhimbnili baada ya kwenda mara ya mwisho mwaka 2010 ni takribani miaka 8 sasa toka nikajage pale kwa mara mwisho.

Hakika kuna mabadiliko makubwa sana kwa kila nyanja ukianza na taratibu mbalimbali zilizozowekwa hapo hospitali.

USAFI: Suala la usafi ni la hali ya juu sana ukilinganisha na miaka 8 iliyopita ukianza na nje usafi ni safi sana zile sehemu zote za bustani ni safi sana huwezi kuona vitu vimetupwa ovyo ovyo kama hapo awali maua na majani yamekatwa vizuri na wafanya usafi wakiwa na mavazi yao rasmi ya usafi na vitendea kazi bora kabisa.

Ukiingia ndani ya wodi za wagonjwa na ofisi za madaktari na wauguzi ni safi sana, kiukweli usafi ni wa hali ya juu sana mashuka meupe sakafu kavu na safi hakuna vumbi kuta zimepakwa rangi safi hakuna madao wala rangi rangi za ajabu ajabu hakuna harufu kabisa kama ilivyokuwa zamani na hata watumishi wenyewe wanang'aa kwa mavazi yao.

Huduma:Kuhusu huduma kwakweli kuna mabadiliko makubwa sana hasa katika kutoa huduma moja kwa moja kwa mgonjwa...Madaktari na Wauguzi na wataalam wengine kila muda na dakika mawazo yao yako kwa mgonjwa tu na si kwa ndugu au jamaa za mgonjwa kama ilivyokuwa zamani.Mgonjwa anapata huduma zote bila ndugu au jamaa wa mgonjwa kusumbuliwa kabisa kwa maana kila dawa inayotakiwa pale kwakweli asilimia 98 mgonjwa anapata tofauti kabisa na zamani ukiingia tu kumuona mgonjwa aidha asubuhi mchana na ile jioni lazima Muuguzi akuite na kukupa kakaratasi kwa kwenda duka la dawa au famasi kununua dawa au vifaa vinavyohitajika kwa mgonjwa.Na pia round za wodini za kuwaona wagonjwa kwa madaktari na wauguzi zimeongezwa tofauti na zamani na imesaidia hata kupunguza vifo vinavyoweza kuzuilika.

Maadili: Kuna maadili ya hali juu sana kwa wato huduma kwani zile lugha za zamani kwa mgonjwa au hata ndugu wa mgonjwa siku hizi hatuzisikii kabisa mgonjwa anahudumiwa kwa upendo wa hali ya juu sana na kupewa taarifa zote sahihi anazopaswa kupewa wakati akipata huduma kama vile kuhusu dawa,vipimo au hata operation kama inahitajika.Nawapa hongera sana wato huduma kwa kutenda kulingana na viapo vyao.

Malipo:Kuhusu malipo hapo ni changamoto kwa baadhi ya wagonjwa hasa wale ambao hawana BIMA kwani kila baada ya muda fulani mgonjwa anapritiwa bill yake ili ndugu wajue kuhusu malipo na kuanza kupunguza kidogo kidogo na wapo ambao hushindwa kupata malipo yote hivyo wengine wamekuwa wanapata msamaha wa kupunguziwa kutoka kwa Maafisa wa Ustawi wa jamii kwa vigezo ambavyo wanaona vifaa kwa mgonjwa huyo kupata punguzo la bill yake.Lakini bado wengi wanajitahidi sana kulipa na kuondoka na mgonjwa baada ya kuruhusiwa.

Utawala:Utawala wa sasa wa hospitali umepangilia mambo mengi sana kwa taratibu nzuri mfano kuhusu usafi naona kuna kampuni ya usafi wa ndani na nje kuhusu ulinzi kila kona kuna ulinzi na kuelekeza wageni wa wagonjwa kufuata utaratibu,hakuna ndugu kupiga kambi ovyo nvyo ndani ya hospitali bila sababu zozote zile hakuna watu wanaozagazaga tu katika mazingira ya hospitali.

Parking za magari:Utawala umetenganisha parking za magari kwa watumishi na ndugu wa wagonjwa hivyo kupunguza wizi wa magari au vifaa vya magari kwa watumishi.

Maoni :Kwanza hongereni sana watoa huduma kwa kazi ngumu inayofanywa kwa wagonjwa kwani ni huduma za viwango vya juu sana pia ushauri kwa wananchi wajitahidi kujiunga na huduma za BIMA kwani zinasaidia pale unapokuwa huna pesa na unahitaji huduma ya afya.Tatu ni muhimu sana kwa ndugu wa wagonjwa kufuata tartibu zilizowekwa na utawala wa hospitali ili huduma ziwe katika viwango vya kimataifa kwa maana kufuata muda wa kumuona mgonjwa ili kutoingiliana na muda wa kutoa huduma.
Muhimbili sio ya kubeza, ila kuna baadhi ya mambo tu yaboreshwe ila hapo kuna vichwa, baadhi ya mambo yaboreshe haswa kwenye sekta ya upasuaji wa moyo nlishapoteza mjomba wangu
 
Muhimbili sio ya kubeza, ila kuna baadhi ya mambo tu yaboreshwe ila hapo kuna vichwa, baadhi ya mambo yaboreshe haswa kwenye sekta ya upasuaji wa moyo nlishapoteza mjomba wangu
Pole sana ...ni kweli kuna vichwa sana pale vilivyobobea haswa na shule ya hatari.
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Tunahitaji wataalamu wengi ili wasaidie hii sekta.
Nimefurahia sana uamuzi wa college moja USA ambayo wameondoa ada kabisa ambayo ilikuwa ni $55,000 kwa mwaka na sasa itakuwa bure.

Je sisi tutafika huko natumaini Rais wetu anapitia World Economic forum
20181124_102315.jpeg
 
Tunahitaji wataalamu wengi ili wasaidie hii sekta.
Nimefurahia sana uamuzi wa college moja USA ambayo wameondoa ada kabisa ambayo ilikuwa ni $55,000 kwa mwaka na sasa itakuwa bure.

Je sisi tutafika huko natumaini Rais wetu anapitia World Economic forum View attachment 944834
That is good news aisee....Na imani kuna siku hizo ada za sekta nyeti zitaangaliwa upya ili kuwepa wataalam wa kutosha katika fani kama hizi za afya....
 
Weeee unataka ufipa wakumeze wakati wanapiga vinanda wakiimba hosipitali hazina madawa
Nina mgonjwa pale Kibasila 12 nimeona hali ambayo sijawahi kuiona kwa Muhimbili ile nayoijua mimi kwanza pembeni pale kwa sehemu wanakokaa wauguzi kuna hizi chupa za maji yaani drip ni nyingi sana zinasubiri wagonjwa.Tofauti na zamani mgonjwa anaingia wodini unaandika karatasi ya kwenda kununua drip nje huko famasi.mpaka sasa sijaambiwa kuwa kuna dawa yoyote inahitajika nikanunua toka alipopokelwa pale Emegency Department saa 7 usiku na hatimaye kufanyiwa operation ya dharura na leo ni siku ya 7 mgonjwa ni mzima wala sijaambiwa kuna kitu nipeleka zaidi ya kumuhudumia mgonjwa tu kwa chai supu na nguo mswaki sabuni basi.

Mpaka unapigiwa simu na waaguzi au daktari kama kuna jambo wanataka kukufahamisha na muda huo si wa kuwaona wagonjwa na ni muhimu ukafahamu.....kweli kuna mabadiliko makubwa sana ya kutoa huduma pale Muhimbili.
 
That is good news aisee....Na imani kuna siku hizo ada za sekta nyeti zitaangaliwa upya ili kuwepa wataalam wa kutosha katika fani kama hizi za afya....
Hiyo ni New York University medical school
Wanafunzi wanapata tabu sana kulipa deni maana hata mishahara sio mizuri hivyo, na kufanya wengi kwenda kusomea taaluma zingine zinazolipa vizuri ili walipe madeni na kuanza kujitegemea.

Ndio wakaamua kuwafundisha bure maana dunia inawahitaji
Natamani na sisi watoe elimu bure kwa medical students
 
Hiyo ni New York University medical school
Wanafunzi wanapata tabu sana kulipa deni maana hata mishahara sio mizuri hivyo, na kufanya wengi kwenda kusomea taaluma zingine zinazolipa vizuri ili walipe madeni na kuanza kujitegemea.

Ndio wakaamua kuwafundisha bure maana dunia inawahitaji
Natamani na sisi watoe elimu bure kwa medical students
ok
 
VP na kule kwa ndugu zetu wa bodaboda kumebadilika mkuu? Maana watu walikuwa mpk wanalazwa chini.
Nilimkuta mmoja amelala na drip nayo ipo chini sasa sijui ingekuwa inapitaje Kwenye mishipa.
 
View attachment 944786
Nimerudi tena Hospitali ya Taifa ya Muhimbnili baada ya kwenda mara ya mwisho mwaka 2010 ni takribani miaka 8 sasa toka nikajage pale kwa mara mwisho.

Hakika kuna mabadiliko makubwa sana kwa kila nyanja ukianza na taratibu mbalimbali zilizozowekwa hapo hospitali.

USAFI: Suala la usafi ni la hali ya juu sana ukilinganisha na miaka 8 iliyopita ukianza na nje usafi ni safi sana zile sehemu zote za bustani ni safi sana huwezi kuona vitu vimetupwa ovyo ovyo kama hapo awali maua na majani yamekatwa vizuri na wafanya usafi wakiwa na mavazi yao rasmi ya usafi na vitendea kazi bora kabisa.

Ukiingia ndani ya wodi za wagonjwa na ofisi za madaktari na wauguzi ni safi sana, kiukweli usafi ni wa hali ya juu sana mashuka meupe sakafu kavu na safi hakuna vumbi kuta zimepakwa rangi safi hakuna madao wala rangi rangi za ajabu ajabu hakuna harufu kabisa kama ilivyokuwa zamani na hata watumishi wenyewe wanang'aa kwa mavazi yao.

HUDUMA: Kuhusu huduma kwakweli kuna mabadiliko makubwa sana hasa katika kutoa huduma moja kwa moja kwa mgonjwa...Madaktari na Wauguzi na wataalam wengine kila muda na dakika mawazo yao yako kwa mgonjwa tu na si kwa ndugu au jamaa za mgonjwa kama ilivyokuwa zamani.Mgonjwa anapata huduma zote bila ndugu au jamaa wa mgonjwa kusumbuliwa kabisa kwa maana kila dawa inayotakiwa pale kwakweli asilimia 98 mgonjwa anapata tofauti kabisa na zamani ukiingia tu kumuona mgonjwa aidha asubuhi mchana na ile jioni lazima Muuguzi akuite na kukupa kakaratasi kwa kwenda duka la dawa au famasi kununua dawa au vifaa vinavyohitajika kwa mgonjwa.Na pia round za wodini za kuwaona wagonjwa kwa madaktari na wauguzi zimeongezwa tofauti na zamani na imesaidia hata kupunguza vifo vinavyoweza kuzuilika.

MAADILI: Kuna maadili ya hali juu sana kwa wato huduma kwani zile lugha za zamani kwa mgonjwa au hata ndugu wa mgonjwa siku hizi hatuzisikii kabisa mgonjwa anahudumiwa kwa upendo wa hali ya juu sana na kupewa taarifa zote sahihi anazopaswa kupewa wakati akipata huduma kama vile kuhusu dawa,vipimo au hata operation kama inahitajika.Nawapa hongera sana wato huduma kwa kutenda kulingana na viapo vyao.

MALIPO: Kuhusu malipo hapo ni changamoto kwa baadhi ya wagonjwa hasa wale ambao hawana BIMA kwani kila baada ya muda fulani mgonjwa anapritiwa bill yake ili ndugu wajue kuhusu malipo na kuanza kupunguza kidogo kidogo na wapo ambao hushindwa kupata malipo yote hivyo wengine wamekuwa wanapata msamaha wa kupunguziwa kutoka kwa Maafisa wa Ustawi wa jamii kwa vigezo ambavyo wanaona vifaa kwa mgonjwa huyo kupata punguzo la bill yake.Lakini bado wengi wanajitahidi sana kulipa na kuondoka na mgonjwa baada ya kuruhusiwa.

UTAWALA: Utawala wa sasa wa hospitali umepangilia mambo mengi sana kwa taratibu nzuri mfano kuhusu usafi naona kuna kampuni ya usafi wa ndani na nje kuhusu ulinzi kila kona kuna ulinzi na kuelekeza wageni wa wagonjwa kufuata utaratibu,hakuna ndugu kupiga kambi ovyo nvyo ndani ya hospitali bila sababu zozote zile hakuna watu wanaozagazaga tu katika mazingira ya hospitali.

PARKING ZA MAGARI:Utawala umetenganisha parking za magari kwa watumishi na ndugu wa wagonjwa hivyo kupunguza wizi wa magari au vifaa vya magari kwa watumishi.

MAONI :Kwanza hongereni sana watoa huduma kwa kazi ngumu inayofanywa kwa wagonjwa kwani ni huduma za viwango vya juu sana pia ushauri kwa wananchi wajitahidi kujiunga na huduma za BIMA kwani zinasaidia pale unapokuwa huna pesa na unahitaji huduma ya afya.Tatu ni muhimu sana kwa ndugu wa wagonjwa kufuata tartibu zilizowekwa na utawala wa hospitali ili huduma ziwe katika viwango vya kimataifa kwa maana kufuata muda wa kumuona mgonjwa ili kutoingiliana na muda wa kutoa huduma.
Mkuu unajua kwa nini Muhimbili iko hivyo sasa? Kwa sababu jamaa amesema hakuna kwenda kutibiwa nje, hivyo sasa kwa vile viongozi hawaendi kutibiwa nje wameifanya vizuri ili wao wapate matibabu hapo.
Vile asilimia kubwa ya bajeti ya wizara ya afya inapotelea kwenye gharama za kuendesha hospitali.
Wajitahidi basi hospitali zote nchini ziwe na kiwango hicho
 
Back
Top Bottom