amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,276
- 12,378
Sawa, naona mmetoka marejeshoHata wana Yanga wali-enjoy pamoja na kulipa hela!
Sawa, naona mmetoka marejeshoHata wana Yanga wali-enjoy pamoja na kulipa hela!
Kiingilio baba!! Watu waliingia kwa buku 3 tu! Maneno mengii, pesa hakuna!





mliacha gate wazi, na mkapigwa 2 vile vile Data za kupika hzo data za kweli angalia lile shindano la nani zaidi la AZAM mpaka yanga waliamua kujitoa maana walikuwa wako hoi wakaona wasiaibike bure.Yanga waliweka nguvu kupata PESA na SIMBA YANGU iliweka nguvu kwa mashabiki wake waenjoy siku yao.
Kama unavyoachaga geti lako wazi wanazamisha tu mmoooo!mliacha gate wazi, na mkapigwa 2 vile vile
Byuti byuti.
Mwamwdi alienda akazamisha milion 100, Yanga wakastukia! Nyau hawana mashabiki watoaji!Data za kupika hzo data za kweli angalia lile shindano la nani zaidi la AZAM mpaka yanga waliamua kujitoa maana walikuwa wako hoi wakaona wasiaibike bure.
Kwenye lile shindano mbona hamkujitutumua hivi hadi mkajitoahii inaonyesha jinsi mashabiki wa YANGA wanavyoipenda na kuitakia mafanikio timu yao
Acha ubishi usio na kichwa wala miguu! Hata msimu uliopita, TFF hii ya shabiki mwenzenu Wallace Karia ilitoa taarifa ambayo ikionesha wazi Yanga ndiyo Klabu iliyo ongoza kwa mapato ya mlangoni!Data za kupika hzo data za kweli angalia lile shindano la nani zaidi la AZAM mpaka yanga waliamua kujitoa maana walikuwa wako hoi wakaona wasiaibike bure.
Ibrahim Masoud alipowaambia ishu ya Kabwili mjadala ukafungwaNa Ibrahim Masoud akamchomekea habari ya Kabwili hapo Maulid na yile Twalib wakaingiwa na jazba
Haswaaaaaaah, km bangala alivopitishwa tobo, na mpira ukaenda wavuni.Kama unavyoachaga geti lako wazi wanazamisha tu mmoooo!






byuti byuti
Mla jana kala nini...? Wahenga walisemaHiyo ya kukosa furaha nyau zimejitungia! Mbona sisi tuna furaha yetu tangu tulivyowavuruga msimu uliopita? Unajua maana ya unbeaten wewe?

Buguruni juzi tiketi zilkua zinauzwa 2000.
Tatizo la mashabiki wa yanga hawana filter wanabeba kila kitu wanachosikia kwa nguruwe pori kama huu utopolo ulioandika.Mwamwdi alienda akazamisha milion 100, Yanga wakastukia! Nyau hawana mashabiki watoaji!
Mambo ya Wingi dhidi ya Ubora (yaani Quantity vs Quality).Kuna kitu sijaelewa, Simba ndie kajaza uwanja lakini mapato kazidiwa. Naomba maelezo